Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

vyovyote apendavyo asali wa moyo wangu,akipenda nibaki mndeny poa,akipenda tuweke watu kule mndeny wasimamie wadudu poa

Yeye ana maana sana kwangu,kwa jinsi nilivyomsubiri,chochote mi ntafanya................

akikaa A-town miezi saba jua ameniacha na malaria ya miezi miwili,by the time anarudi......university student to be amewasili.....upo?
hahah! ulivyo na uhakika........Unaongea na Professional hapa. shauri yako.
 
dah,hii ya university student inanichekesha sanaaa.

Unaweza kukata majani ya ng'ombe lakini!

Nimekulia Arusha,siwezi ila kuliko kuishi na simba bora nikakate majani ya ng'ombe na kuzoa nanii ya wadudu???
 
dah,hii ya university student inanichekesha sanaaa.

Unaweza kukata majani ya ng'ombe lakini!
asante kwa kuendelea kumpa tahadhari. ndo maana nitaendelea kulinda maslahi yako especially pale ambapo hujatimiziwa unachohitaji vizuri.
 
Usiseme kuhusu hivyo vijisenti vya uswis,hawashindwi kutu wikiliki hawa,JF intelligence ni kubwa plz....ibaki siri yetu tu!!!!😛lane:

achana nao hwa wikiliki kwani kale ka a/c ketu ka visiwa vya blunei wanakajua?
 
asante kwa kuendelea kumpa tahadhari. ndo maana nitaendelea kulinda maslahi yako especially pale ambapo hujatimiziwa unachohitaji vizuri.

Sikujibu,naona una linalokukaba na roho wewe

Aliokutuma mwambie hukunikuta...........................
 
usiseme kuhusu hivyo vijisenti vya uswis,hawashindwi kutu wikiliki hawa,jf intelligence ni kubwa plz....ibaki siri yetu tu!!!!😛lane:

mi nshajua,ntakuwa nambari wani kuwawikilikisha,labda mnipe madolari ya kiziba mdomo..lol
 
achana nao hwa wikiliki kwani kale ka a/c ketu ka visiwa vya blunei wanakajua?

Ukiendelea kutaja hizo account naondoka....................

au kuna mtu unaji-market kwake mpz??? niambie nijue,mi roho inauma,tukipoteza zile unafikiri huko university ntasomesha watoto na mapenzi yako????
 
kaka unajua ingredients iliyomo kwenye mbege?
we bana sikiliza, ushaambiwa mapenzi hayapeleki watoto university.........sasa kwa vile wewe umewekewa superglue, nmi nakubali kutulia.........superglue si ina expire pia?
 
ivi nimesema nataka mke sasa inamaana humu wote mmeolewa na hamna wadogo zenu wanaotaka mume? au nyote mnataka wachumba 2? natafuuuuta mkeeee ebo. mpaka niwe mkali au mnachagua masai na wachaga 2?
 
Ukiendelea kutaja hizo account naondoka....................

au kuna mtu unaji-market kwake mpz??? niambie nijue,mi roho inauma,tukipoteza zile unafikiri huko university ntasomesha watoto na mapenzi yako????

basi mama sitaji tena......na zile tulichimbia kwenye migomba inabidi tuzibadili si umesikia kuna noti mpya?
 
basi mama sitaji tena......na zile tulichimbia kwenye migomba inabidi tuzibadili si umesikia kuna noti mpya?

Tukimaliza bia pale marangu mtoni tuende tukachimbe bila watu kutuona.......lol😛lane:😛lane:
 
Usinitege mimi,mitihani kama hiyo aunt wangu mngoni aliniambia itakuwepo na namna ya kuishinda......lol
wajomba zako wamarangu hawakukwambia kwamba baba mkwe is as bad as mashemeji?
 
we bana sikiliza, ushaambiwa mapenzi hayapeleki watoto university.........sasa kwa vile wewe umewekewa superglue, nmi nakubali kutulia.........superglue si ina expire pia?

Na huo ushemeji shemeji wako, utakuwa ume-expire by the time super glue inaexpire!!!
 
Back
Top Bottom