Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

wewe ni ndaza kapime ukimwi kabla ya kumpoteza masai inelekea vimidola vyake vimekupagawisha wakati ulikuwa huko uswazi na jamaa kibao sasa umeona mwezi na jua unashindwa kuchagua nikipi kinachofaa kwa maisha yako!!huu nimtazamo wangu kwakuwa nipo kwenye jamiiforums my great network!!

kakakiiza alisema hataki ushauri wa wakaka huyu.
 
huyo ndo ubavu wangu atacho kihisi mie kwangu agizo

Hater's hang yourself, haina haja ya kuwapanga kwa list ndefu,subira tu jamani na kumuomba mola

Nimesubiri mie,nimepata riziki yangu mwenyewe ikiwa na mimi ikitoka sasa hapo sijui...........lol
 
Mimi ndo nazoa,wajibu wangu huo, shangazi yangu mngoni alinifundisha..................l.o.l
hahahahahaa!!!!! weeeee! wanafuga hao?
basi nina uhakika Hashy atakuacha mndeny na mandolini yeye aende zake Atown kutafuta mipesa..........mm nitakuwa nakusaidia kutengeneza mandolini coz imechoka sana........mtu anakaa town 7months hajarudi unafikiri itakuwaje?
 
unajua nitakuwa nafanya kwa ajili yako...........sitaki uwe disapointed bana! Tf ni dogo wangu bana.

thx for yo concern biggie, usiwe na shaka jamaa shughuli anaiweza haswaaaa.
 
Hater's hang yourself, haina haja ya kuwapanga kwa list ndefu,subira tu jamani na kumuomba mola

Nimesubiri mie,nimepata riziki yangu mwenyewe ikiwa na mimi ikitoka sasa hapo sijui...........lol

tulipiganie penzi letu mwaego wenye wivu wajinyonge....
 
hahahahahaa!!!!! weeeee! wanafuga hao?
basi nina uhakika Hashy atakuacha mndeny na mandolini yeye aende zake Atown kutafuta mipesa..........mm nitakuwa nakusaidia kutengeneza mandolini coz imechoka sana........mtu anakaa town 7months hajarudi unafikiri itakuwaje?

nitakuimbia taaarabu wewe!l.o.l
 
hater's hang yourself, haina haja ya kuwapanga kwa list ndefu,subira tu jamani na kumuomba mola

nimesubiri mie,nimepata riziki yangu mwenyewe ikiwa na mimi ikitoka sasa hapo sijui...........lol

haya bana,usisahau kututumia kadi plz.
 
kutokana na maombi ya wengi humu jf itakuwa live tbc one l.o.l

wow! Cant wait to see! Halafu waalikwa no kutoa michango eh! Manake hamkawii tena mnatuwekea na minimum amount na bonge la deadline tena bolded kuonyesha msisitizo...lol
 
hahahahahaa!!!!! weeeee! wanafuga hao?
basi nina uhakika Hashy atakuacha mndeny na mandolini yeye aende zake Atown kutafuta mipesa..........mm nitakuwa nakusaidia kutengeneza mandolini coz imechoka sana........mtu anakaa town 7months hajarudi unafikiri itakuwaje?

vyovyote apendavyo asali wa moyo wangu,akipenda nibaki mndeny poa,akipenda tuweke watu kule mndeny wasimamie wadudu poa

Yeye ana maana sana kwangu,kwa jinsi nilivyomsubiri,chochote mi ntafanya................

akikaa A-town miezi saba jua ameniacha na malaria ya miezi miwili,by the time anarudi......university student to be amewasili.....upo?
 
vyovyote apendavyo asali wa moyo wangu,akipenda nibaki mndeny poa,akipenda tuweke watu kule mndeny wasimamie wadudu poa

Yeye ana maana sana kwangu,kwa jinsi nilivyomsubiri,chochote mi ntafanya................

akikaa A-town miezi saba jua ameniacha na malaria ya miezi miwili,by the time anarudi......university student to be amewasili.....upo?

yaaani nimekupenda ghafla
 
wow! Cant wait to see! Halafu waalikwa no kutoa michango eh! Manake hamkawii tena mnatuwekea na minimum amount na bonge la deadline tena bolded kuonyesha msisitizo...lol

michango ya kazi gani.....siku hiyo naangusha wadudu wote bandani....ka a/c kangu ka uswis nakasafisha kote we unazani kuna siku nyingine gani muhimu kama hii......maishani sherehe tatu tu kuzaliwa...kuoa....kifo..l.o.l
 
vyovyote apendavyo asali wa moyo wangu,akipenda nibaki mndeny poa,akipenda tuweke watu kule mndeny wasimamie wadudu poa

yeye ana maana sana kwangu,kwa jinsi nilivyomsubiri,chochote mi ntafanya................

Akikaa a-town miezi saba jua ameniacha na malaria ya miezi miwili,by the time anarudi......university student to be amewasili.....upo?

dah,hii ya university student inanichekesha sanaaa.

Unaweza kukata majani ya ng'ombe lakini!
 
michango ya kazi gani.....siku hiyo naangusha wadudu wote bandani....ka a/c kangu ka uswis nakasafisha kote we unazani kuna siku nyingine gani muhimu kama hii......maishani sherehe tatu tu kuzaliwa...kuoa....kifo..l.o.l

Usiseme kuhusu hivyo vijisenti vya uswis,hawashindwi kutu wikiliki hawa,JF intelligence ni kubwa plz....ibaki siri yetu tu!!!!😛lane:
 
Back
Top Bottom