Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

ukweli ndio huo wadada hatutakubali kuwa na mmoja, hata akiwa mmoja lazma wengine wawe standby ili kikiwaka upate pa kuhemea fasta

mhhhh moja jumlisha moja ngapi??????? napita tuuuu marytina al the best
 
ukicheche wake uko wapi??
Amesema kila mmoja kwenye level tofauti za mapenzi ili mmoja aje kuwa mume,hajasema wote wana status moja kwenye maisha yake??
Ukimaliza kupembua,olewa my dear na yule moyo utakayeridhia,usiangalie sana pesa ukachukua misukule,ukishaapa naomba utulie na ninakutakia baraka tele!

michelle msome vizuri huyu whatever yuko ki golddigger zaidi
 
marytina,si wote my dear tuko hivyo,wengine mmoja akiondoka,tunasubiri tupone vidonda,na kupumzika kwa muda kabla ya kuanza uhusiano mwingine......😛lane:

now eat your first words
 
WAMAMA WOTE WANATAMANI MABINTI tuolewe kwao, kaa kimya kama ni mkaka.HAPA ARUSHA wadada tunataman sana chagga for ndoa, ila huyu MASAI ana hekima za kizidi

Unahisi ni mkaka kisa sikuungi mkono??Ni mdada tena wa hilo kabila unalotamani vijisenti vyao!Ushauri wangu ni ule ule..olewa na unaempenda!Mkijipanga na mMassai wako mtatengeneza pesa zenu pamoja!
 
Eee! 😛lane: 😛lane: nilikuwa napita tu :A S 39:
 
ah ah ah Vous ne savez pas si invisible est à l'aise avec le français! Vous serez interdit en quelques minutes!

Je pense Invisible doit augmenter des modérateurs comment voyez-vous ? ? ? Sonnerie et Enock ? ? Ils sont trop mon cher
 
Kwa hiyo fanya hivi.........fuata tamaa, nenda kwa wachaga for ndoa, ukumbuke watoto wataenda shule na wataenda chooni na wataenda Moshi Xmas, na mama yako atafurahi......UKUMBUKE KUWA HUWEZI KUPENDA MCHAGA, UKAZIPENDA HELA ZAKE, HALAFU UKACHUKIA BIA YAKE.
wamarangu nawazimia kikweli ila MUNGU AMEWAPA KILEMA CHA BIA,jioni MACHALII WANAKUNYWA ARUSHA wanaself drive kwenda marangu eti BIA ZA ARUSHA zinakata stimu nataka ninywe nkiwa MARANGU MTONI,asubuhi saa mmoja YUPO ARUSHA ofisini nawashangaaga sana
 
Unahisi ni mkaka kisa sikuungi mkono??Ni mdada tena wa hilo kabila unalotamani vijisenti vyao!Ushauri wangu ni ule ule..olewa na unaempenda!Mkijipanga na mMassai wako mtatengeneza pesa zenu pamoja!
Hebu njoo huku nikuunganishe na ankal tuzichange.

Huyo anatafuta Loan Board bana, sio mume.
 
Desidii elewa mume hasifiwi ukubwa wa dude lake bali uwezo wa kuwaorienti watoto wawe atakavyo, i hope huyu masai ni best at this, anaishi na mamake tena mama mtu ananipenda sana. wadogo zake wapo skuli OLD MOSHI na weruweru

Hujui kama ana uwezo huo??are you heading towards marriage with a person you are not sure will make a great dad???
Explanation!
 
Hashy,Birigita na Elia nimekuja kuwaondoa mumefata nini huku mtasutwa nyie alaaa!
 
Duuhhh! Pole hapo hakuna uaminifu! hata huyo ATAKAECHAGULIWA akioa, utakuwa unakwenda nje... Maana ushazoea NYINGI...
 
wamarangu nawazimia kikweli ila MUNGU AMEWAPA KILEMA CHA BIA,jioni MACHALII WANAKUNYWA ARUSHA wanaself drive kwenda marangu eti BIA ZA ARUSHA zinakata stimu nataka ninywe nkiwa MARANGU MTONI,asubuhi saa mmoja YUPO ARUSHA ofisini nawashangaaga sana
Sasa umeandika kama unaongea, naconcludi kwamba unawapenda sana wala huzipendi hela zao?!!
Ulikosea tu kuchanganya machaga na pesa Vs masai na caring.
 
Marytina,si wote my dear tuko hivyo,wengine mmoja akiondoka,tunasubiri tupone vidonda,na kupumzika kwa muda kabla ya kuanza uhusiano mwingine......:plane:
asante Michelle well said daln.....
 
Back
Top Bottom