Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

tatiana mdogo wako huyo hebu ongea nae mpe ushauri kutoka kwa dada zake kama nyie

well TF,mi bana mambo ya pesa huwa siangilii,kama nimempenda mtu basi hata kama ni maskini ni poa tu,pesa kitu gani bwana si zinatafutwa tu. unaweza kimbilia pesa then ukaishi kkama upo jela for the rest of yo life,pia utaumia sana maana utakua ni mtu wa kujuta tu.
kingine namshaur aache kupanga wanaume foleni si tabia nzuri kabisa kwanza anahatarisha maisha yake na ya wenzie,pia anajiongezea stress tu kichwani mwake.
 
marytina chukua huu ushauri ufuatao

You come to love not by finding the perfect person, but by seeing an imperfect person perfectly



Hii thread ishakachuliwa tayari ni viserengeti kibao
 
Amkubali huyo mmasai tena na kile kijitu chao wanachokata/tahiri bila kukiondoa na kuviringisha chini kinaongeza mahanjumati

Desidii elewa mume hasifiwi ukubwa wa dude lake bali uwezo wa kuwaorienti watoto wawe atakavyo, i hope huyu masai ni best at this, anaishi na mamake tena mama mtu ananipenda sana. wadogo zake wapo skuli OLD MOSHI na weruweru
 
WAMAMA WOTE WANATAMANI MABINTI tuolewe kwao, kaa kimya kama ni mkaka.HAPA ARUSHA wadada tunataman sana chagga for ndoa, ila huyu MASAI ana hekima za kizidi
Kwa hiyo fanya hivi.........fuata tamaa, nenda kwa wachaga for ndoa, ukumbuke watoto wataenda shule na wataenda chooni na wataenda Moshi Xmas, na mama yako atafurahi......UKUMBUKE KUWA HUWEZI KUPENDA MCHAGA, UKAZIPENDA HELA ZAKE, HALAFU UKACHUKIA BIA YAKE.
 
mmh nadhani ww ni mdada na wadada hatuna lugha kama hizi hasa kwa wanaume maana ni watu tunaowaheshim sana!watch out mdomo uliponza kichwa,ni ushauri tu frm mdada mwenzio,am out!
wewe kibushuti unanitafuta,mijitu isiyojijua jinsia zao/sexuality kama nyie wanipitie mbali....!hapo ulipo hujijui kama ww unakojoa umesimama ama umechuchumaa...msonyo!
 
mmh nadhani ww ni mdada na wadada hatuna lugha kama hizi hasa kwa wanaume maana ni watu tunaowaheshim sana!watch out mdomo uliponza kichwa,ni ushauri tu frm mdada mwenzio,am out!

mnh una uhakika huyo ni mwanaume na wewe???ubakie huko huko out!:frusty:
 
Shosti, money ain't a thing kama kweli unampenda.
Hebu rudisha kumbukumbu zako nyuma, ulipokuwa for 2 na boyfriend wako yuko form 3.
Mnakula mihogo, mnainjoi. Usiku mkikutana kona mnamalizana hukohuko.
Mambo yalikuwa mazuri na mapenzi ya dhati.
Penye upendo pana amani, penye tamaa ya pesa pana ukimwi
SAWA ILA HAPA NI SWALA LA SURVIVAL YA WATOTO,nia ya kuishi ni to pass genetic material to next generation, UGUMU WA MAISHA UNAWEZA KUJA WAFANYA WATOTO WANGU KITU MBAYA ( survival 4 fittest) au CHADEMA watatoa rais maisha yabadilike ndio...
 
wamama wote wanatamani mabinti tuolewe kwao, kaa kimya kama ni mkaka.hapa arusha wadada tunataman sana chagga for ndoa, ila huyu masai ana hekima za kizidi

excluding my mom
 
are you sensing something LD? hebu pekua ma-file.
Post ya kwanza tu ananiita mwanaume.........na jina langu kama la Roselyne

Bigirita Bigirita, mmmmmh, siku ya kwanza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!
Hapana, isije kuwa............................
 
beta said if nothing is said at all!we see with our eyes not our head,we use our mind not ur stomach!play cool dnt act like a fool
mnh una uhakika huyo ni mwanaume na wewe???ubakie huko huko out!:frusty:
 
Siku nyingi sana nilikuwa natafuta fataki wa kike, nashukuru leo nimempata, ngoja nikaharakishe kuchukua zawadi yangu... sorry, nilikuwa napiga chabo tu ngoja niondoke kabla hamjanikuta wenyewe
ukweli ndio huo wadada hatutakubali kuwa na mmoja, hata akiwa mmoja lazma wengine wawe standby ili kikiwaka upate pa kuhemea fasta
 
take this in your face we KICHECHE!

Ukicheche wake uko wapi??
Amesema kila mmoja kwenye level tofauti za mapenzi ili mmoja aje kuwa mume,hajasema wote wana status moja kwenye maisha yake??
Ukimaliza kupembua,olewa my dear na yule moyo utakayeridhia,usiangalie sana pesa ukachukua misukule,ukishaapa naomba utulie na ninakutakia baraka tele!
 
Bigirita Bigirita, mmmmmh, siku ya kwanza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!
Hapana, isije kuwa............................
hahahahaa!!! habari yake binafsi!
Kuna mtu anatafuta Loan Board hapa badala ya Mume.
 
Desidii elewa mume hasifiwi ukubwa wa dude lake bali uwezo wa kuwaorienti watoto wawe atakavyo, i hope huyu masai ni best at this, anaishi na mamake tena mama mtu ananipenda sana. wadogo zake wapo skuli OLD MOSHI na weruweru

Kwa nini umekuja kuomba ushauri sasa??
 
ukweli ndio huo wadada hatutakubali kuwa na mmoja, hata akiwa mmoja lazma wengine wawe standby ili kikiwaka upate pa kuhemea fasta

Marytina,si wote my dear tuko hivyo,wengine mmoja akiondoka,tunasubiri tupone vidonda,na kupumzika kwa muda kabla ya kuanza uhusiano mwingine......😛lane:
 
Back
Top Bottom