neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
Achana na hayo maviungo mwaya. Afu sijui kwanini wanawake hatupendi kuambiana ukweli, hayo maviungo nikujitafutia tu matatizo na kuharibu uasili wa kwa bibi.
Oo sijui shabu, malimao, misk, carolight, mdalasini humo humo... Ipo siku atawaka mtu moto lol..
Fanya mazoez kama walivyoshauri wengine juu, na kusafisha maji baridi safi yanatosha. All the best
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Oo sijui shabu, malimao, misk, carolight, mdalasini humo humo... Ipo siku atawaka mtu moto lol..
Fanya mazoez kama walivyoshauri wengine juu, na kusafisha maji baridi safi yanatosha. All the best
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums