Heko za Sikukuu πŸŽ„ kwa Wadada na Wamama....

Kasie

Platinum Member
Dec 29, 2013
21,225
36,239
Habari za mchana wadau...


Shukrani nyingi zimuendee Maulana kwa kunipa kibali cha kuiona siku ya leo nikiwa mzima na mwenye afya tele πŸ™.

Najua kila mtu ana namna yake ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kwa upande wangu, huwa napenda kupika pilau la viungo vizima vizima. Shurti pilau isindikizwe na kachumberi, shurbati na rosti la πŸ— lililotupiwa mbogamboga na ndizi mzuzu zilizokatwakatwa mithili ya kiepe πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ taaaaamuuuuuuπŸ˜‹πŸ˜‹

Salamu za pekee ziwaendee wadada na wamama walioingia jikoni kupika chochote kwa ajili ya Sikukuu.

Karibuni mle kwa picha πŸ˜‰.

C2FDD8D4-831A-40C5-9651-0249D220965C.jpeg


Pilau

B8BC05F0-E16A-4D66-9663-3AA0A23381EF.jpeg


Rosti πŸ— + mambogamboga.

Skukuu njema 😍.
 
Kinywajiii cha kulainisha koo hujakiweka wakati kilikuwepo
Heri ya xmass
 
Habari za mchana wadau...


Shukrani nyingi zimuendee Maulana kwa kunipa kibali cha kuiona siku ya leo nikiwa mzima na mwenye afya tele .

Najua kila mtu ana namna yake ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kwa upande wangu, huwa napenda kupika pilau la viungo vizima vizima. Shurti pilau isindikizwe na kachumberi, shurbati na rosti la lililotupiwa mbogamboga na ndizi mzuzu zilizokatwakatwa mithili ya kiepe taaaaamuuuuuu

Salamu za pekee ziwaendee wadada na wamama walioingia jikoni kupika chochote kwa ajili ya Sikukuu.

Karibuni mle kwa picha .

View attachment 2057136

Pilau

View attachment 2057135

Rosti + mambogamboga.

Skukuu njema .

Mimi ndo wamegoma kula mchana ndo naingia sasa kujipikilisha wanachokitaka sijui nitamaliza saa ngapiila ntaleta picha
 
Mimi ndo wamegoma kula mchana ndo naingia sasa kujipikilisha wanachokitaka sijui nitamaliza saa ngapiila ntaleta picha

Weka ufundi wako wote mdada, wenyewe wanasema cooking is an art.

Wabarikiwe wataokula chakula chako.

Twasubiria picha.
 
Kasinde mpenda vitamu.....

Nashushia chokoleti πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Ya kuvuta Mahabaaa...
3397EC91-C92D-4D0D-9F88-B3F5CC4E7782.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom