Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa
Huna akili kabisa nivae kinga kisa mimba,,,,labda useme una ngoma
 
Ohooo usisikilize maoni ya kila mdau jf, humu Kila mtu ni mtoa huduma za Afya, usije ukawa mshatumia mara kadhaa na mpenzi wako sasa uanze kufklia kumkimbia kisa kuna mtu kaandika kitu alichokiona Facebook huko
Sijawahi hata kuziona hizo p2 naziskia tu!
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.

Kwa kweli kama umejaribu kumwambia vizuri haelewi huyo ni wa kumuacha..p2 Zina side effects hasa kene mzunguko wa period naona na inashauriwa usitumie mara nyingi
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
We humpendi tu mshikaj usimtaftie sababu za kipuuzi
 
happy new year in advance
You have the most perfect Legs ,i guess you must have driven all your teachers insane once you hit puberty ....


ingekua inaruhusiwa Mwanamke kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja, Ningekuoa , ila kwakua haiwezekani , ONLY ONE NIGHT , AS MUCH AS POSSIBLE !!!............... it is important to me and you.!!
 
Hao wadada wasasa watakuja kukushauri umuache halafu wao watamchukua watambebea na mimba!,utatangatanga huko ukaingilie mahusiano ya watu wakuroge!.

Mimi nakushauri kama mwanaume tulia na mtu wako isipokuwa muelimishe na tumia watu wake wa karibu kama hasikii, kaeni chini mtimize malengo yenu acheni fujo.
Watu wake wa pembeni wafanye nini? ya kwao yamewashinda watayaweza ya hawa viumbe? cha msingi wapambane na hali zao. Na huyu mwanamke nae ni kihiyo kabisa kwa sababu huwezi kumwacha mwenzio kwa sababu kama hiyo. huyo ana lake jambo.
 
P2 unashauriwa usitumie zaidi ya mbili kwa mwaka.

Oaneni muache uzinzi.
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
bora uje tuanze wote mahusiano nakuahidi kondom nitavaa masaa 24
 
Sio nzuri kutumia hzo mara nyingi ni hatari sana tumieni kondomu ka raphy rider nzuri, kumezesha ma girlfriend wenu ni kuwataftia ugumba na kuqaharibia mayai
Kuna wengine pia hizo kondom zinawaumiza na kuwasababishia muwasho
 
Hivi kumwaga nje ni kazi kiasi hicho! Aise me kwanza nikimwaga nje dushe halilali kabisa! Naunganisha tu mabao💪
 
You have the most perfect Legs ,i guess you must have driven all your teachers insane once you hit puberty ....


ingekua inaruhusiwa Mwanamke kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja, Ningekuoa , ila kwakua haiwezekani , ONLY ONE NIGHT , AS MUCH AS POSSIBLE !!!............... it is important to me and you.!!

 
1. hakuna kukutana siku za hatari simamia msimamo wako

2. sepa

3. uzazi wa.mpango madhara uyapate wewe baadae wakati yeye keshao mke wake

4. akuoe ajilie anavyotaka
Yeye asepe... Uhusiano hautakiwi kua wa upande mmoja.

MTU anayekupenda lazima akujali., akusikilize .


Anachokifanya Muhuni. Ni kutafuta Mimba tu kisha aikimbie !!!.



Mtu anayekupenda, Atakulinda .

Ukimwendekeza Mwanaume....Utakua Singo maza wa kujitakia.


Uzoefu wa maisha, kwa Yale mnayoyaona au kuyasikia kwa wanawake wengine, yatoshe kuwafunza, sio mpaka upigwe na kitu kizito kichwan.
 
Habari.

Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.

Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.

Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?

Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.

Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Ni vema ukaacha kabisa na mchezo wenyewe.
 
Back
Top Bottom