Kwa wadada hasa walio single

Habarini za asubuhi wana jamvi... hope mko pouwa... leo nimekutana na hii nikaona nisiwe mchoyo nije kushare na wenzangu hapa......

Kuna kitu kinaitwa mvuto. Yaani hata kama mtu unampenda sana usitake
kumuonyesha kuwa unampenda saana na huwezi ishi bila yeye. Mjali, ongea naye vizuri, msikilize, lakini linapokuja suala hukubaliani nae, mwambie wazi wazi tena straight. Mwonyeshe kuwa uko focused zaidi na maisha, sio na yeye. Usipende kubip bip au kupiga kila saa. Sometimes akikupigia mpotezee, then unakuja kupiga masaa kadhaa baadae, unamwambia kuwa ulikuwa bize na shughuli fulani ya maana, so hukuona call yake. Au unaweza kupokea then, ukamwambia kuwa, sory, kuna kitu cha muhimu nafanya hapa, nitakupigia baadae, I love you, bye.. Ukifanya hivi utajenga mvuto fulani na kila saa atakuwa anakuona mtu wa maana na focused na maisha, na atatamani kuwa na wewe. Atakuona kama mtu ambaye uko siriaz na unaweza kutunza familia ikitokea,
Lakini kama unampenda mtu alafu kila saa unataka kuongea naye, kila saa kuwa naye, kila saa unaongelea I miss you, I love you.. atakuchoka na kukuona huna maana. Automatically atakuona cheap na low grade na atakuacha. Hapa sijamaanisha kuwa mvuto, ndo basi umchunie siku mbili au tatu hujampigia, la, ila ikibidi umpigie, au unataka kusikia sauti yake, piga alafu jifanye unaulizia jambo la muhimu. Kwa mfano piga msalimie, mwambie nimekumiss alaf mwambie nilitaka unishauri labda mtu aliyemaliza form four hajapata shule, kipi cha maana kati ya secretarial na hotel management course. Akikuuliza vipi, mwambie kuna mdogo wangu nilitaka nimtafutie chuo hapa.
Jambo jingine ni kuwa usitake kwenda kwake bila sababu. Kwa mfano mwambie kuwa kama uko home, nitakuja mara moja kukuletea zawadi yako then nitaondoka maana nataka kwenda so and so, ukitaja hata sehemu za ukweli. Hii itamfanya akuone kuwa unamjali, alafu pia uko bize. Lakini kama unataka kumuonyesha kuwa uko bize, usijisahau ukamwonyesha uko bize na mambo yanayowashirikisha sana wanaume, bali mambo ya kijamii na kielimu. Kama wewe ni mfanya kazi mwonyeshe kuwa kazini kwako uko bize na unathaminiwa. Mwonyeshe kuwa mara nyingi una homework. Katika hali kama hiyo mwache yeye ndiyo apropose kwenda out, na usikatae, bali mwambie kuwa japo nina vijishughuli vya muhimu hapa, then nitakwenda kwa sababu nakujali wewe.

Usitake kumuonyesha kuwa unapenda starehe, bali usijionyeshe kuwa anti-social. Hata kama unapenda kujirusha, lakini siku zote onyesha kuwa unajirusha tu kwa sababu yake, na ukiwa mwenyewe au na watu wengine hauenjoy. Siku zote omba msaada wa mawazo kwake, na epuka kuomba msaada wa pesa mara kwa mara a.k.a mizinga ya vocha . Hakikisha kuwa akikupa elfu 10, basi 2 zinarudi kwake kwa njia ya zawadi au kulipia bill. Sometimes jifanye kuwa una shida kubwa ya hela kiasi fulani, na akikupa, nenda kamnunulie zawadi, tena ikiwezekana ongeza na ya kwako, alafu unamwambia kuwa nilikuomba ile hela kwa sababu niliona hiki kitu fulani nikatamani uwe nacho lakini sikuwa na hela ya kutosha. Hii itamfanya aone kuwa unamjali.

All in all, kumpenda mtu kusimfanye akuone mzigo au kero, bali kuwa na mvuto fulani wa kutaka kukuona kila saa.

Wadada mpoooooooo!!!!!!!!! ASUBUHI NJEMA



"...kuwa na mvuto fulani wa kutaka kukuona kila saa" --- kisu kina mpini na makali, muhimu ujitambue umekamatia wapi...:D
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na unga mkono hoja ni kweli jmn asemayo ndg y2,ila tatizo wanawake bl kupigiwa cm mr kwa mr na sms za kl dk 2naic hatupendwi na 2natafta pale 2napoulizwa umekula bby,unafanya nn sasa,unajickiaje ndo tumezoea jamani.
 
[QSometimes akikupigia mpotezee, then unakuja kupiga masaa kadhaa baadae, unamwambia kuwa ulikuwa bize na shughuli fulani ya maana, so hukuona call yake. Au unaweza kupokea then, ukamwambia kuwa, sory, kuna kitu cha muhimu nafanya hapa, Hii point sikubaliani nayo,unajua mpaka unapigiwa simu au mtu anakubip amepitia hatua nyingi kumpotezea ni jambo baya sana.Nitarudi kuelezea kwa kirefu ili nieleweke vyema!
 
kwa mtazamo wangu mi naona kuwa mapenz hayana utaratibu, maana unaweza kufanya hayo na mtu akataffsri vingine so kikuweli mapenz ni kuridhiana tu hayo mengine ni mbwembwe tu.
 
Khaaa, hii elimu ngeni tena hii! Yaani umeimis sauti yangu unanipigia/bip hlf UNANIDANGANYA kuwa kuna mdogo wako unataka kumtafutia shule???? Unaliita shetani la uongo ktk mahusiano yako weee likikuitikia lije na kuweka mizizi unaanza tena kilio na kusaga meno! Kuwa halisi vile ulivyo, kama wewe ni mlevi usijifiche utampata chapombe mwenzako, kama hupendi sigara jipambanue tangu mwanzo, siyo unapenda kujirusha unaficha hlf siku mambo yakikunyokea unadhihirisha rangi zako zote, ktk mahusianao kufake mambo ni kati ya sumu mbaya sana.
 
Charminglady nimesoma kwa uchungu na masikitiko maelezo yako yote ya awali na ya hapo juu kwa sababu nimetoka kuachwa jamani last friday! yaani naumia mno...kisa? niliacha simu nyumbani kwa hiyo sikujibu sms wala kupokea calls za jamaa mpaka nilivorudi kutoka kazini! Au alikua keshajichokea anatafuta sababu?

Polee....
 
Habarini za asubuhi wana jamvi... hope mko pouwa... leo nimekutana na hii nikaona nisiwe mchoyo nije kushare na wenzangu hapa......

Kuna kitu kinaitwa mvuto. Yaani hata kama mtu unampenda sana usitake
kumuonyesha kuwa unampenda saana na huwezi ishi bila yeye. Mjali, ongea naye vizuri, msikilize, lakini linapokuja suala hukubaliani nae, mwambie wazi wazi tena straight. Mwonyeshe kuwa uko focused zaidi na maisha, sio na yeye. Usipende kubip bip au kupiga kila saa. Sometimes akikupigia mpotezee, then unakuja kupiga masaa kadhaa baadae, unamwambia kuwa ulikuwa bize na shughuli fulani ya maana, so hukuona call yake. Au unaweza kupokea then, ukamwambia kuwa, sory, kuna kitu cha muhimu nafanya hapa, nitakupigia baadae, I love you, bye.. Ukifanya hivi utajenga mvuto fulani na kila saa atakuwa anakuona mtu wa maana na focused na maisha, na atatamani kuwa na wewe. Atakuona kama mtu ambaye uko siriaz na unaweza kutunza familia ikitokea,
Lakini kama unampenda mtu alafu kila saa unataka kuongea naye, kila saa kuwa naye, kila saa unaongelea I miss you, I love you.. atakuchoka na kukuona huna maana. Automatically atakuona cheap na low grade na atakuacha. Hapa sijamaanisha kuwa mvuto, ndo basi umchunie siku mbili au tatu hujampigia, la, ila ikibidi umpigie, au unataka kusikia sauti yake, piga alafu jifanye unaulizia jambo la muhimu. Kwa mfano piga msalimie, mwambie nimekumiss alaf mwambie nilitaka unishauri labda mtu aliyemaliza form four hajapata shule, kipi cha maana kati ya secretarial na hotel management course. Akikuuliza vipi, mwambie kuna mdogo wangu nilitaka nimtafutie chuo hapa.
Jambo jingine ni kuwa usitake kwenda kwake bila sababu. Kwa mfano mwambie kuwa kama uko home, nitakuja mara moja kukuletea zawadi yako then nitaondoka maana nataka kwenda so and so, ukitaja hata sehemu za ukweli. Hii itamfanya akuone kuwa unamjali, alafu pia uko bize. Lakini kama unataka kumuonyesha kuwa uko bize, usijisahau ukamwonyesha uko bize na mambo yanayowashirikisha sana wanaume, bali mambo ya kijamii na kielimu. Kama wewe ni mfanya kazi mwonyeshe kuwa kazini kwako uko bize na unathaminiwa. Mwonyeshe kuwa mara nyingi una homework. Katika hali kama hiyo mwache yeye ndiyo apropose kwenda out, na usikatae, bali mwambie kuwa japo nina vijishughuli vya muhimu hapa, then nitakwenda kwa sababu nakujali wewe.

Usitake kumuonyesha kuwa unapenda starehe, bali usijionyeshe kuwa anti-social. Hata kama unapenda kujirusha, lakini siku zote onyesha kuwa unajirusha tu kwa sababu yake, na ukiwa mwenyewe au na watu wengine hauenjoy. Siku zote omba msaada wa mawazo kwake, na epuka kuomba msaada wa pesa mara kwa mara a.k.a mizinga ya vocha . Hakikisha kuwa akikupa elfu 10, basi 2 zinarudi kwake kwa njia ya zawadi au kulipia bill. Sometimes jifanye kuwa una shida kubwa ya hela kiasi fulani, na akikupa, nenda kamnunulie zawadi, tena ikiwezekana ongeza na ya kwako, alafu unamwambia kuwa nilikuomba ile hela kwa sababu niliona hiki kitu fulani nikatamani uwe nacho lakini sikuwa na hela ya kutosha. Hii itamfanya aone kuwa unamjali.

All in all, kumpenda mtu kusimfanye akuone mzigo au kero, bali kuwa na mvuto fulani wa kutaka kukuona kila saa.

Wadada mpoooooooo!!!!!!!!! ASUBUHI NJEMA





Enyi single ladies msidanganyike na hii thread. Ukiona jibaba linahaha kwa demu namna hii basi ujuwe huyo ajala tunda lako bado na ukimringishia zaidi anakupotezea kwani katika kula tunda mtu anajiwekea lengo lake au muda wake na ukifka ule muda bila kuonja lile tunda usishangae kumwona anasarandia mti mwingine kwenda kuchuma/kula tunda. Kingine pia, jibaba huyo huyo anaweza akala tunda lako ndiyo ukawa mwanzo na mwisho wa kumuona tena kwani first impression kitandani ina matter sana na bahati mbaya mademu wengi wa hapa Bongo hawajuwi mchezo kitandani zaidi ya kunyonya na kulala tu kama boga. Kwa mwanamke kuwa mtundu kitandani kunasaidia hata mwanamme kuwa na hisia za hajabu na kukufanyia wewe mwanamke utundu zaidi ila dada zetu wengi wenu ni ziiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
kwa mtazamo wangu mi naona kuwa mapenz hayana utaratibu, maana unaweza kufanya hayo na mtu akataffsri vingine so kikuweli mapenz ni kuridhiana tu hayo mengine ni mbwembwe tu.

kweli tena .mimi huwa full kujiachia watu wanatofautiana kitabia mi nikikuta missed call yake huwa najilaumu naona nimemic kitu cha thamani kwanza kitendo cha yeye kuinua cm na kunipigia mimi na labda si mwingine kwanza huwezi jua ana ujumbe gani .ni vizuri kufunguka kufichaficha vitu kama mwenendo wako si vizuri
 
Siku zote kwenye mapenzi mimi hua nafanya kinachomfurahisha mpenzi wangu kutokana na jinsi mwenyewe alivyo na sio kuiga jinsi wengine wanavyowafanyia wapenz wao! Binadamu wanatofautiana inawezekana kabisa ukamfanyia A jambo fulani akafurahi sana lakini ukimfanyia B jambo lilelile akakasirika! So kwenye mapenzi hakuna haja ya kukrem guidelines just do what you think is right na mpenzi wako anakuapreciate!
 
Hii kitu haina formula itakavyokuja ndio unabinuka nayo hivyo hivyo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom