[QUOTE=BornTown;657240]Chamecha mono mshiki yuuuuuu cha kilora basi....
Wachaga bwana, mnatoa burudani. At least watu mnakumbuka kwenu, sio wengine mpaka wakienda kuzikwa hakuna hata anayejua njia. Sasa nasikia yale majumba mazuri mnayojenga ndiyo yanakuwaga hayana wakaazi mpaka XMAS?
Naaam hii sasa inakuja vyema jam kama ubungo inaanza taratiiibu namna hii, hapo kesho hapa active users 189, mi napenda sana kabila langu wachaga tunajua wakati muafaka wa mwaka na thread kwa wakati maalumu kama huuCurrently Active Users Viewing This Thread: 22 (7 members and 15 guests) [URL="https://www.jamiiforums.com/members/realtz77.html" said:
tatizo unacheka afu unasahau kugonga senksi! Mchaga wewe?
Mbaali kuulee naaasikia, malaika waa mbiiiinguniiii,
Wakiimbaa weeeengi pia, wimbo huo juu aaangani.
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!
Wachunga tuuaaaambieni, sababu za wiiiiimbo huooo,
Mwenye kwimbiiiiiiwaaaa ni nani, juu ya nani wimboooooo huo,
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!
Je hamjuiiiii jambo kuuuu, la kuzaliwaaaa mwooookozi,
Sababu za wiiiiimbo huo, ni wa kumshukuru mwoooookoziiiii,
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!
Naaam hii sasa inakuja vyema jam kama ubungo inaanza taratiiibu namna hii, hapo kesho hapa active users 189, mi napenda sana kabila langu wachaga tunajua wakati muafaka wa mwaka na thread kwa wakati maalumu kama huu
Kanisani kunakuwa na sadaka ya pili( kumwona mtoto pangoni), huku kwaya ikijitahidi kuimba kwa nguvu na kushangilia ili kuhamasisha mshiko zaidi. Misa inakuwa ndeefu huku wale ambao jana yake walilala nazo kichwani wakivinjari karibu karibu na viunga vya kanisa kutafuta mahali pa kuzimulia. Harufu ya Pilau kwa mbaali inasikika huku watoto wakicheza huku na kule wakisubiri msosi wa nguvu home! Mialiko kedekede mara baada ya misa. Jamaniii, bado siku 23 tu, tukutane kwa Kipanga Majengo!
Nguli, Chrispin mko juuuu home boys. Mmenitia mzuka wa kwenda Moshi thanks
Home Sweet Home! Inaelekea hujala machalari siku nyingi meku! Hahaha! Aikambe!
Home Sweet Home! Inaelekea hujala machalari siku nyingi meku! Hahaha! Aikambe!
Du. Hii thread imeuza sana. Mbona dada zenu hatuwaoni wakichangia humu, sisi mashemeji zenu tunaogopa!