Kwa uongo huu unaosambaza Zitto Kabwe dhidi ya Rais, hakika inadhihirisha kuwa umetekwa na Mafisadi

We na waandishi wa habari uliowasikia wakisema hivo, mmekurupuka na sioni sababu ya kumshutumu ZITTO kabla ya ya kumhoji kuhusu matamko/kauli zake.

Wakati mwingine ukute anajiamini na kauli zake, oia ukute ana vielelezo kama ushahidi wake.

[HASHTAG]#SUBIRA[/HASHTAG] YAVUTA KHERI
Zitto siku zote ni mropokaji. Angekuwa ana vielelezo angeviweka hadharani. Nikiri kwamba tulikosea sana kumtetea Zitto wakati ule anasurubiwa na Mbowe
 
Yawezekana hata wewe ni fisadi ndio maana unalalamika coz wewe unaonaje hali ya sasa na zamani hapo mwanzo mfano unakuta wewe binafsi unaweza ukalalamika hali ni ngumu lakini mwenzio hapa jirani anawaagizia bia wenzake saa hizi ni nani anathubutu kufanya hivi pia tayari ndege moja umeletewa bado unalia je Rais angetumia hiyo ela kwa maslai binafsi ingekuaje si ungeongea mpaka.
 
Yawezekana hata wewe ni fisadi ndio maana unalalamika coz wewe unaonaje hali ya sasa na zamani hapo mwanzo mfano unakuta wewe binafsi unaweza ukalalamika hali ni ngumu lakini mwenzio hapa jirani anawaagizia bia wenzake saa hizi ni nani anathubutu kufanya hivi pia tayari ndege moja umeletewa bado unalia je Rais angetumia hiyo ela kwa maslai binafsi ingekuaje si ungeongea mpaka.
Sijawahi kuwa fisadi na sina sababu ya kuwa fisadi. Sina mwanya pia wa kufanya ufisadi
 
Unataka aingilie kati then mseme kuwa Rais ni dikteta? Mahakama yeye, Bunge yeye na kila kitu yeye? Hamna maana ninyi wapinzani

Kwani mkuu kwa minajili ya kutaifisha... Anayetakiwa au mwenye mamlaka ya kutaifisha hizo mali za iptl ni nani? Bunge..!? Mahakama..!!? au Executive..!!!?
 
Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo
Unatakiwa udokeze ukweli ukioonesha ZZK alidandanya kwa kuandika thamani halisi tofauti na zile alizotoa yeye ukifanya hivyo utakuwa unajenga hoja madhubuti na tutakuelewa.
Sio porojo kama ulivyofanya.
 
Serekali inayojali maskini kununua ndege sijajua maskini atanufaika nazo VP au labda zifanywe daladala..Zitto kuisifia serekali anaonekana kijana msomi na wanalumumba wanamsifia sana,lakini zitto huyo huyo akiikosoa serekali anaonekana anatetea mafisadi
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nioneshe masikitiko yangu kwa kijana mwenzetu, Zitto Kabwe ambaye hapo awali tulimuamini kwa kujenga hoja madhubuti kwenye mapambano dhidi ya ufisadi. Hakika mara kadhaa Zitto Kabwe aliibuka shujaa na hoja zake zilikuwa na mashiko.

Ila kwa sasa sijaelewa nini kimemkumba ndugu Zitto Kabwe. Kwa sasa amegeuka kuwa mtetezi wa Ufisadi na Mafisadi. Nimejiuliza sana nini kinaendelea nyuma ya pazia.

Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo. Baadhi ya waandishi ambao nilikuwa nao karibu wamehoji sababu hasa ya Zitto Kabwe kutunga uongo ule.

Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe
kwani ubovu ama ubora wa ndege unaangaliwa kwa macho mkuu? hii nayo ni namna mpya ya kufikiri naona haaaa! kama ulienda na inspector wa ndege akathibitisha sio mtumba tiutakusikiliza ila kwa vile hukufanya hivyo bali kwa kuangalia kwa macho, hoja ya zitto bado ina nguvu na kubakia pale pale!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nioneshe masikitiko yangu kwa kijana mwenzetu, Zitto Kabwe ambaye hapo awali tulimuamini kwa kujenga hoja madhubuti kwenye mapambano dhidi ya ufisadi. Hakika mara kadhaa Zitto Kabwe aliibuka shujaa na hoja zake zilikuwa na mashiko.

Ila kwa sasa sijaelewa nini kimemkumba ndugu Zitto Kabwe. Kwa sasa amegeuka kuwa mtetezi wa Ufisadi na Mafisadi. Nimejiuliza sana nini kinaendelea nyuma ya pazia.

Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo. Baadhi ya waandishi ambao nilikuwa nao karibu wamehoji sababu hasa ya Zitto Kabwe kutunga uongo ule.

Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe
ZZK ana matatizo ya ungonjwa wa chama kile kilichokufa cha chandomo. Kila kukicha anatafuta kiki ili atoke, ila bahati mbaya kila akiibuka na jambo ni la uongo na unafiki
 
ZZK ana matatizo ya ungonjwa wa chama kile kilichokufa cha chandomo. Kila kukicha anatafuta kiki ili atoke, ila bahati mbaya kila akiibuka na jambo ni la uongo na unafiki
Sahihi kabisa Mkuu
 
Upinzan wa tz hovyo tu, kwanini wasfate mbinu aluowaambia prof mkumbo?wabafl namna ya kufanya siasa hii ya sahz n ya zaman na haiwez kuzaa matunda

Siasa hubadilika zenyewe kutokana muda, na muda huu ndo hapa siasa zetu zilipofikia" pamoja na majaribu tunayopitia lakini tunaenda vzr, natamani tufike mahali watanzania tubakie watanzania na siasa iwe ni kama kazi nyingine" akiharibu akosolowe na wanaomzunguka na sio kumtetea, na tusimchague"
 
Hata wewe Lizibon ni fala tu, kwani waandishi wa habari wana utaalamu wa kutofautisha ndege re-furbished na ndege mpya?. Pia kuna ajabu gani kwa mafisadi kugharamia pesa za mkutano wa CCM kama siku ile tuliona pesa zimekamatwa kwenye mabegi kwenye uchaguzi?
 
Sijapata kuona Oposition wanakuwa kwenye wakati mgumu kama utawala huu wa Magufuli. Hakika kawashika kwenye nyeti
Kweli mmekunywa maji ya Bendera ya kijani hata hamuoni yaani nyeupe mnasema nyeusi poleni iko siku mtajua aliyeshikwa na aliyeshika nani
 
Mtakoma, na machinga wa siasa watawadanganya mpaka, mtakuwa mbumbumbu, mm nacho amini kuwa ndege, ilizo nunua serikali ni ndege safi na zinaweza kufanya kazi, kama haziwezi kufanya kazi, basi tutarudishiwa pesa, au kubadilishiwa ndege nyingine, maana mm naamini kwamba kununua ndege, sio kama kununua kiberiti, hapana kununua ndege is long process, there is agreement both sides, kati ya taifa na taifa, na kuna, makubaliano also between, shirika linalo uza ndege na shirika la serikali ya Tanzania, it means kama wemetuuzia ndege mbovu, mkuu wetu wa nchi ataawadhibu wote waliohusika, na mikataba mibovu ya manunuzi ya ndege hizo, maana utakuwa ni uzembe, kwani hata engineers, wa pande zote mbili wamehusishwa, katika mpango huu mm, na pia kama shirika lilouza ndege mbovu, shirika litashitakiwa, na halitaaminika tena, maana hili shirika siyo kikundi cha wahuni, ni shirika linalo julikana, na siyo sisi wakwanza kununua ndege kwao, na wamwisho kununua pia, baado wataendelea kuuza, na pia walisha uzia watu, wengine tofauti na sisi wabwana kujua, huwa naamini serikali hii haiweze ikafanya kosa, tena kama la lada mbovu, ya waingereza kuliko vyama vya siasa maana, baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wamegeuza,wananchi, masoko yao ya kuuza, mawazo yao, kwa wananchi, hivyo mm hawa wanasiasa na waita-wajasiriamali biashara ambao wao wana lenga faida tu, kwa hiyo mm, huwa kuna falsafa yangu naitumia kuwa "Chunga sana machinga wa fikira ni hatari sana kuliko machinga wa bidhaa ndogo ndogo "machinga wa fikira hapa naamanisha, watu wanaokulupuka, kwa kusikia mawazo ya wanasiasa, wasio litakia taifa, hili mambo mema bila Kupima, wanalishabikia ndg watanzania mm ni raia mwema, kama nyinyi hebu tusiamini, wanacho kisema watu hawa kwamba ndege hii ni mbovu si kweli, naomba muiamini serikali ya John pombe Joseph magufuli hata kama hamwamini chama kuwa raisi hawezi kuruhusu kununua ndege mbovu, kwa gharama Kubwa kama hizo mnazo sikia. Huo ni uongo, sasa mpe, imani raisi hata kidogo, mpongezeni kwa jambo Jema hili alilo pewa, kama mfalme buswati anapongezwa kwa kuoa wanawake, Itakuaje raisi huyu kwa Jema hili alilo fanya, Ibrahim Lincoln was written that, every body needs compliment "even magufuli also is need compliment, ukweli, mm tangu nijue kuwa wa bongo hatuna dhana ya kupongezana hata kama, mwenzako kafanya vyema, hivyo tumekaa tu kuchafuana na hatuna nidhamu taifa hili hata kidogo. Kwa hiyo tukubali mipango ya huyu mzee iko poa.
 
Ila lizaboni kuwa na mawazo chanya na uwe unatumia akili zako kufikiri na kuandika badala ya kupewa mawazo ya watu wengine nawe unayaleta humu pasipo hata kufikiri! Uwe na uzalendo kwa Nchi yako, sidhani kama una kitu kikubwa sana ila naona unatumiwa tu. badilika ndugu kuwa na mchango kwa nchi yako!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nioneshe masikitiko yangu kwa kijana mwenzetu, Zitto Kabwe ambaye hapo awali tulimuamini kwa kujenga hoja madhubuti kwenye mapambano dhidi ya ufisadi. Hakika mara kadhaa Zitto Kabwe aliibuka shujaa na hoja zake zilikuwa na mashiko.

Ila kwa sasa sijaelewa nini kimemkumba ndugu Zitto Kabwe. Kwa sasa amegeuka kuwa mtetezi wa Ufisadi na Mafisadi. Nimejiuliza sana nini kinaendelea nyuma ya pazia.

Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo. Baadhi ya waandishi ambao nilikuwa nao karibu wamehoji sababu hasa ya Zitto Kabwe kutunga uongo ule.

Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe
Waandishi wa habari ni wataalamu wa kugundua upya ama uchakavu wa ndege siku hizi? au wanajua bei ya ndege siku hizi? acha kupayuka payuka hovyo hovyo humu sio kila mtu ni mjinga kama unavyofikiria
 
Si mlimshangilia Zitto na ACT yake mkijua wako upande wenu. Sasa ndo mtajua rangi halisi ya Zitto. Atamshambulia baba Jesca mpaka aombe po. Mtajuta kuwafahamu Waha wa Kigoma. Mimi binafsi namwamini Zitto kwamba Magufuli katuletea mtumba toka Kazakhstan na sio brand new toka Canada.

Hata mimi pia mamwamini Zitto kuwa Mbowe alihongwa na Nimrod Mkono na Rostam Aziz na pia anapiga dili na Kinana! Pia namuamini kuwa kifo cha Chacha Wangwe kilikuwa cha kuumbwa!
 
Back
Top Bottom