Hahaha uwii.... Usimtafutie melo afurunushweWana Demokrasia wa Tz, mnatoa ushauri gani kwa Jamii Forum. Waweke ka utaratibu ka kupiga kura humu. Ili tujue kama
Zitto 'kifaa'. Au Zitto 'mnaa'
msamehe Hawa ni wale mpaka wanakufuta viatu vya wengine NA mashahati yao ilimradi tu Wapo hapo walipo hata wakitukanwa Wapo tuHata wewe Lizibon ni fala tu, kwani waandishi wa habari wana utaalamu wa kutofautisha ndege re-furbished na ndege mpya?. Pia kuna ajabu gani kwa mafisadi kugharamia pesa za mkutano wa CCM kama siku ile tuliona pesa zimekamatwa kwenye mabegi kwenye uchaguzi?
Nonsense.. Hata kama wamewaonyesha mpaka engine kati yenu mlioonyeshwa kulikuwa na mweledi wa kutambua hii ni mpya ama la??Duh! Mkuu, mbona sasa wamezionesha mpaka ndani na kwenye engine?
Nadhani Wapinzani wamechanganyikiwa. .Oposition tunawapenda sana ila kwa sasa kila tawi wanaloparamia linakatika.Tutamuomba baadae aje kuthibitisha. Heko kwa mh Magu kukaa kimya
Teh teh teh teh mweeeeeSijapata kuona Oposition wanakuwa kwenye wakati mgumu kama utawala huu wa Magufuli. Hakika kawashika kwenye nyeti
Haupo serious, BroKwanza yani mi hata niviite vindege kwanza vya hovyo mi nashangaa kuona baadhi ya watanzania eti wanafurahia hizo ndege mbili duh! Kweli huu ni msiba Atleast kwa sasa tungekuwa na ndege 20, Hivi kweli Nchi yetu ina ndege mbili jaman hebu tuweni serious kwanza hata mataifa ya wenzatu wanashangaa kwa Nchi kama hii