Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
Ule ukatili uliyofanywa na police hadharani tena mchana wa jua kali umenipa tafakuri nzito sana.
Ule ukatili wao umesababisha hadi niwaze utimamu wa afya za akili za wahusika.
Ule ukatili wao umefanya niwaze utimamu wa akili wa aliyewatuma.
Ule ukatili wao umefanya niwaze majukumu ya msingi ya kitengo walichotokea.
Lakini mwisho na kubwa kuliko yote ni hatima za wale waliyokuwa wakiwateka na kuondoka nao huwa wanatreatwaje huko waliko .
Wale jamaa wanaonekana washapagawa na damu .
Kunaclip kadhaa nilifanikiwa kuziona ambazo zilikuwa zikiwaonyesha kwa ufasaha kabisa ,aisee jamaa walikuwa wanatetemeka kabisa usoni ,kama niwatu waliyotumia vileo au madawa yakuwapunguzia utimamu .
Wakuu hatupo salama,tusipoamua kusimama na kujiongezea thamani kwa kusema imetosha ,wazee tutaisha .
Ikitokea umetekwa na wale washkaji jua umeenda .
Tumshukuru aliyempa Sa100 wazo la kuratibu utekaji , siyo muda tutakutana na majibu ya kazi zao zilizotukuka .
CCM haina safari trust me .
Ule ukatili wao umesababisha hadi niwaze utimamu wa afya za akili za wahusika.
Ule ukatili wao umefanya niwaze utimamu wa akili wa aliyewatuma.
Ule ukatili wao umefanya niwaze majukumu ya msingi ya kitengo walichotokea.
Lakini mwisho na kubwa kuliko yote ni hatima za wale waliyokuwa wakiwateka na kuondoka nao huwa wanatreatwaje huko waliko .
Wale jamaa wanaonekana washapagawa na damu .
Kunaclip kadhaa nilifanikiwa kuziona ambazo zilikuwa zikiwaonyesha kwa ufasaha kabisa ,aisee jamaa walikuwa wanatetemeka kabisa usoni ,kama niwatu waliyotumia vileo au madawa yakuwapunguzia utimamu .
Wakuu hatupo salama,tusipoamua kusimama na kujiongezea thamani kwa kusema imetosha ,wazee tutaisha .
Ikitokea umetekwa na wale washkaji jua umeenda .
Tumshukuru aliyempa Sa100 wazo la kuratibu utekaji , siyo muda tutakutana na majibu ya kazi zao zilizotukuka .
CCM haina safari trust me .