Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

nkanziga

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
675
1,078
Binafsi ili safari yangu iwe nzuri na niifurahie huwa nahitaji vitu vichavhe tu, kwanza kabisa gari linalozingatia muda na pia ile huduma yetu pendwa ya kuchaji simu lakini pia gafi ambalo ni nadhifu kwa maana ya usafi wa ndani na nje wa basi, nikipata vitu hivyo tu basi huwa nashawishika kupanda basi hilo.

Kwako wewe unazingatia nini?

20220824_155129.jpg
 
Binafsi huzingatia basi linalokimbia mwendo wa wastani. Hivyo, nikifika stendi huulizia ni basi gani linawahi sana kufika. Naambiwa. Kisha nauliza, ni basi gani lenyewe linafika la mwisho nisipande. Wananiambia.

Baada ya hapo napanda hilo la kufika mwisho kwasababu naamini Lina mwendo ninaouhitaji! Ahahahahaha!!
 
Kwanza nahakikisha sina njaa wala sijashiba sana, sipendi kusafiri na kinyesi tumboni, pili kwa mkata tiketi huwa nna buku 2 ya pembeni hii ni ya mkata tiketi kwamba vigezo vizingatiwe, nipatiwe seat ya dirishani na seat ya pembeni yangu aniletee pisi kali( hapa ile 2000 ) inakuwa imeenda ki uhalali. Kingine marufuku kula kula njiani vitu kama mayai, ( korosho na soda hii mbaya sana ) mishikaki sijui, hii hapana pia!
 
Nilipanda bus fulani kutoka dar kwenda dodoma ilokua dharura nikaacha shabiby sababu ilikua ikichelewa kama nusu saa nilijutia safari nilitoka dar saa sita na nusu mchana dar mbona dodoma nimefika saa nne usiku hadi shabiby niliyoacha ukanipita

Nikasema kweli kila kitu ni brand sitapata bus halina hata brand halijali muda.
 
Binafsi huzingatia basi linalokimbia mwendo wa wastani. Hivyo, nikifika stendi huulizia ni basi gani linawahi sana kufika. Naambiwa. Kisha nauliza, ni basi gani lenyewe linafika la mwisho nisipande. Wananiambia. Baada ya hapo napanda hilo la kufika mwisho kwasababu naamini Lina mwendo ninaouhitaji! Ahahahahaha!!
Hahaha hata kama utakutana na basi bovu?

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza nahakikisha sina njaa wala sijashiba sana, sipendi kusafiri na kinyesi tumboni, pili kwa mkata tiketi huwa nna buku 2 ya pembeni hii ni ya mkata tiketi kwamba vigezo vizingatiwe, nipatiwe seat ya dirishani na seat ya pembeni yangu aniletee pisi kali( hapa ile 2000 ) inakuwa imeenda ki uhalali. Kingine marufuku kula kula njiani vitu kama mayai, ( korosho na soda hii mbaya sana ) mishikaki sijui, hii hapana pia!
Huna imani na tumbo lako

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Nilipanda bus fulani kutoka dar kwenda dodoma ilokua dharura nikaacha shabiby sababu ilikua ikichelewa kama nusu saa nilijutia safari nilitoka dar saa sita na nusu mchana dar mbona dodoma nimefika saa nne usiku hadi shabiby niliyoacha ukanipita

Nikasema kweli kila kitu ni brand sitapata bus halina hata brand halijali muda.
hukuuliza wataalam

Au hukusalimia watu

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi ili safari yangu iwe nzuri na niifurahie huwa nahitaji vitu vichavhe tu, kwanza kabisa gari linalozingatia muda na pia ile huduma yetu pendwa ya kuchaji simu lakini pia gafi ambalo ni nadhifu kwa maana ya usafi wa ndani na nje wa basi, nikipata vitu hivyo tu basi huwa nashawishika kupanda basi hilo.

Kwako wewe unazingatia nini?View attachment 2718244
aisee mimi huwa ninaangalia plate number kwanza. nikiona ni ya kitambo hilo bus nalitilia mashaka sana
 
Back
Top Bottom