Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 850
- 1,176
Nimejiuliza hivi kwa sababu ni kawaida kusafiri ndani ya basi lenye abiria zaid ya sitini bila hata mmoja kufungua kioo cha dirisha.
Na pia ukifungua wa siti ya nyuma analalamika upepo unampuliza.
Watu mnasafiri muda mrefu bila hewa mpya kuingia ndani ya basi madhara yake ni kuumwa kichwa na uchovu mwingi baada ya safari.
Kuna wale hata gari ikiwa na AC wanalalamika inawaletea matatizo kwenye kifua, hawa sijui kwa nini wanapanda gari zenye AC.
Hivi haiwezekani vioo vya mabasi vikawa Kama vya milango ya gari za binafsi (kupanda na kushuka) ili mtu aweze kukifungua nusu kupunguza upepo?
Angalau hii itaokoa afya zetu watanzania tusiopenda kufungua vioo vya madirisha.
Nawasilisha.
Na pia ukifungua wa siti ya nyuma analalamika upepo unampuliza.
Watu mnasafiri muda mrefu bila hewa mpya kuingia ndani ya basi madhara yake ni kuumwa kichwa na uchovu mwingi baada ya safari.
Kuna wale hata gari ikiwa na AC wanalalamika inawaletea matatizo kwenye kifua, hawa sijui kwa nini wanapanda gari zenye AC.
Hivi haiwezekani vioo vya mabasi vikawa Kama vya milango ya gari za binafsi (kupanda na kushuka) ili mtu aweze kukifungua nusu kupunguza upepo?
Angalau hii itaokoa afya zetu watanzania tusiopenda kufungua vioo vya madirisha.
Nawasilisha.