GE2025 Kwa tuliyoyaona na Hatua zilizochukuliwa na Vyombo vyetu vya Usalama; Tunahitaji Silaha Kujilinda

GE2025 Kwa tuliyoyaona na Hatua zilizochukuliwa na Vyombo vyetu vya Usalama; Tunahitaji Silaha Kujilinda

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

emperor

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
301
Reaction score
281
Naleta hoja kwamba Vyombo vya Kiusalama vimeshindwa kutuhakikishia ulinzi na usalama. Hatuoni haja ya kuanza kumiliki silaha za moto tuweze kujilinda sisi kama RAIA?
Yaliyotokea ni wazi yana ripple effects kuu tatu:
1. Maandamano kutokutokea tena kwani watu wataogopa kuuwawa. Hii scenario naipa uwezekano mdogo maana binadamu ana tabia ya ku-adopt mazingira yake. Yanapokua harsh ana tabia ya kuwa dynamic enough kuweza kuishi nayo. Hii ina maana maandamano yajayo yatakuja na waandamanaji kuwa kwenye defence posture zaidi (mkao wa kujihami); mkao unaoweza chochea vita vya wenyewe kwa wenyewe.
2. Scenario ya Pili: Waliouwawa wapendwa wao kuji regroup na kulipiza kisasi. Hii maana yake wataanza kuji organize kimakundi wakiwa na sababu kuu n lengo imara linayowaunganisha. Haya makundi yana hatari ya kugeuka makundi hatari sana hata kuwa na mafungamano ya kigaidi. Ikumbukwe kuwa kwa Tanzania mbali na silaha za jadi ambazo asilimia kubwa tunajua kuzitumia (waTu wa vijijini waliokuja mjini) pia sio ngumu sana ku-smuggle silaha kutoka nje. Nimeishi maeneo ya pembezoni na operation zilizokua na zinazokua zinafanywa na idara za kipolisi huwa zinanishtua sana ninavyoona jirani yangu usiyemdhania anatoa silaha ya kivita(Enzi hizo nilikua nahisi polisi wachawi). Najua waTZ wengi ambao hawaishi au hawakuwahi ishi mipakani mwa Tanzania hawalijui hili.
3. Scenario ya tatu: Matokeo ya maandamano yataimarisha zaidi upinzani, maana raia watawaona kuwa kimbilio. Hoja za mabadiliko ya katiba zitashika kasi na upinzani utapata "ground" ya kudai mabadiliko makubwa zaidi ya katiba- zaidi ya hoja dhaifu za Tume ya Uchaguzi. Watahitaji mageuzi katika mifumo ya majeshi, utekezaji wa mapendekezo ya ripoti ya Haki jinai na mageuzi makubwa ya mamlaka ya Rais na u-Rais katika vyombo vya maamuzi.
 

Attachments

  • Screenshot_20251104_100600_X.jpg
    Screenshot_20251104_100600_X.jpg
    216 KB · Views: 10
  • Screenshot_20251104_122404_X.jpg
    Screenshot_20251104_122404_X.jpg
    258.1 KB · Views: 14
  • Screenshot_20251104_122412_X.jpg
    Screenshot_20251104_122412_X.jpg
    287.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20251104_122424_X.jpg
    Screenshot_20251104_122424_X.jpg
    246.7 KB · Views: 11
  • Screenshot_20251104_122435_X.jpg
    Screenshot_20251104_122435_X.jpg
    170.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20251104_161747_X.jpg
    Screenshot_20251104_161747_X.jpg
    271.7 KB · Views: 17
  • Screenshot_20251104_161855_X.jpg
    Screenshot_20251104_161855_X.jpg
    151.1 KB · Views: 13
  • Screenshot_20251104_161908_X.jpg
    Screenshot_20251104_161908_X.jpg
    261.4 KB · Views: 9
Nchi zilizokubuhu ugaidi na vikundi vya waasi mambo yalianza taratibu hivi hivi, leo hii utasikia kuna sijui nchi ya kaskazini na kusini na hata baada ya kugawanyika bado machafuko hayajakoma...

Tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi, na dhambi ikichukua mimba huzaa MAUTI...
 
Unfortunately hii siyo solution. CCM nzima ni kama cartel. Wait until you hear the gaslighting from hao wabunge bungeni.
Kwani kwa sasa unawasikia au kuwaona mitaani? Hata wao hawaamini hizo kura zimetoka wapi.
Hata wao kuna ndugu na jamaa zao wameuliwa
 
Mbona hilo ndo linatakiwa kwa sahivi, tutajilinda wenyewe basi. Wale wakalinde wanasiasa sie tutafute mikakati ya kujilinda Ilakini tusikae tena kumtegemea sijuhi mjomba, sijuhi kaka ...they are not made for us!!
 
Back
Top Bottom