Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 58
BTW Rwanda ina eneo la ukubwa wa kiasi gani?
Je Eneo hilo tunaweza kulilinganisha na Tanzania kwa mara ngapi?
Je Rwanda ina population ya watu wangapi?
GDP ya Rwanda ni kiasi gani?
Je kiwango cha kufuta ujinga kipo cha kiasi gani?
Je, kwa wastani, daktari mmoja anahudumia wagonjwa wangapi?
Je, mifumo yao ya usawa kwa mlinganisho wanakilometa ngapi za lami zaidi ya Tanzania?
Je, Rwanda inategemea nini hasa katika uchumi wa nchi yake?
Je, balance of trade ta Rwanda iko vipi?
Je, uchumi wa Rwanda unakuwa kwa kiasi gani kwa mwaka na ukuwaji wake kwa miaka mitano iliyopita?
Ninataka kuchangia lakini ninahitahaji data na ikibidi nifanye utafiti.
Kitu kikubwa cha kujifunza kutoka Rwanda ni usafi. Mji wao wa Kgali na viunga vyake ni visafi sana, ukilinganisha na Dar na miji mingine Tanzania. Sisi ni wachafu sana sanaa.... We need to learn from them in that aspect..... Accept that please...
Kuna vitu vizuri pia vya kujifunza toka kwa Kagame....... He is a hard working man...
Kitu kikubwa cha kujifunza kutoka Rwanda ni usafi. Mji wao wa Kgali na viunga vyake ni visafi sana, ukilinganisha na Dar na miji mingine Tanzania. Sisi ni wachafu sana sanaa.... We need to learn from them in that aspect..... Accept that please...
Kuna vitu vizuri pia vya kujifunza toka kwa Kagame....... He is a hard working man...
shiumiti,
Kigali yawezekana ni safi! Pia tz tafadhali usigeneralize- kuna miji misafi tu sana kama Moshi, Iringa, n.k! Rwanda ni kanchi kadogo kama Mkoa wa Kagera and Kigoma commbined!
Sii kweli kuwa Watz wote tu wachafu!
Ukiangalia data: Rwanda are not any better..Tz tumewazidi!
Ukiangalia Global Peace Index (GPI)..Tz we are 59 Rwanda 118!!
sasa hapo kuna nini cha kujifunza ktka kwa huyo kagame na ujumbe wake ndugu muheshimiwa??
For how long will you still be better than Rwanda? .
Thats the question.
And please bear in mind that about 45 years ago Malaysia(called Malay then),Singapore, Indonesia and even to some extent India were in the same position as we are now.
They have developed by huge leaps, while we are still stagnant.
That is the issue here.
Rwanda watatupita hivi hivi na sisi tunaona, misingi ya maendeleo yao tunaiona lakini tunabishania statistics
Hawa jamaa wako serious, ukimwangalia kagame akiongea unaamini kwamba anamaanisha anachoongea, ukimwangalia JK akiongea unaona kabisa kwamba huyu ni msanii! Hivi karibuni nikiangalia CNN nilimwona kagame akiwashangaa viongozi wenzake wa kiafrika wanaosema kwamba afrika haikuwa msababishaji wa mdororo wa uchumi, alisema kwamba kitendo cha kutokuwa msababishaji maana yake ni kwamba wewe sio mchezaji. Kwa mtazamo huo unaweza ukaona tofauti ya huyu jamaa alivyo visionary kuliko huyu wa kwetu ambaye badala ya kuomba ujuzi anaishia kuomba net za mbu na vijisenti. HEKOKAGAME
Mambo ya kujifunza ni haya:
[Source: Game theory
3. Rwanda ili kuondokana na ukabila ingependa kutoa uraia kwa watu wa mataifa mengi zaidi hivyo Rais kawaalika wengi wajitokeze hata kuomba uraia, ''watu wanaona hili ni tatizo mimi naona ni faida kwa nchi mradi wanaopewa uraia wanafuata sheria''
I believe Rwanda hawana tatizo la umeme kama Tanzania