- Thread starter
- #61
Sikushangai,.. kama kuandika tu ndo hivyo, kufikiria je itakuwaje!?? MUKONONI
sisi tunajadili mnyama nguruwe alivyo mtamu na anapatikana wapi.ww unaleta siasa nenda jukwaa la siasa aliye panga majukwaa sio mjinga
Sikushangai,.. kama kuandika tu ndo hivyo, kufikiria je itakuwaje!?? MUKONONI
sawa mkuu usalama vip mitaa hiyo na vyangudoa
unataka KTM au vyangudoa
Tutachukua nchi kweli kwa mjadala wa kitimoto kutawalaa namna hii, si hata kama wewe ukipewa nchi utakuwa unawaza kitimoto tuu huku wananchi wanakufa na kwashakoo
Kwa wapenzi wa nyama ya nguruwe,ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi.Hii ni kwa nn?au kuna mtu humu anafahamu sehemu safi anapotengenezwa nikajionee
Acha kutugeresha, asalam aleykhum!!!
Hao nguruwe hawakuwa hawa wa kwetu tz, walikuwa wa middle east. Kwanza ilikuwa kitambo sana sisi hayatuhusu wacha tupge noah kwa raha zetu weyeeeee!
Samahani KamaJambazi hapo kwenye red ni Dodoma au Dar maana mate yameshajaa mdomoniNenda pale carribean karibu na bunge, kuna kitimoto swaafi wallah.
Tutachukua nchi kweli kwa mjadala wa kitimoto kutawalaa namna hii, si hata kama wewe ukipewa nchi utakuwa unawaza kitimoto tuu huku wananchi wanakufa na kwashakoo
Kwa wapenzi wa nyama ya nguruwe,ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi.Hii ni kwa nn?au kuna mtu humu anafahamu sehemu safi anapotengenezwa nikajionee
Nimewahi kula pale mara nyingi, Ila nimebadilisha. Nyama wanaharakisha kupika, inakuwa ngumu, haiivi sawasawa. Kimara Resort (safari Resort) wanatengeneza vizuri sana