Kama vipi timba kigoma ujiji manguruwen njia ya kwenda air port.mambo poa kwa sasa tupo na magamba tunapiga
kitabu cha kikristu na kitabu cha kiislam kwa pamoja vinakataza huyu mnyama asiliwe, ni mchafu na analeta magonjwa kwa mlaji....sasa bado mnatafuta pahala safi anapouzwa!?
probably the best meat in the world.huyu mnyama wa mwisho wa mwezi mbona mtamu sana hivi babangu
kwa hiyo sir God alikosea kuumba?
Mungu kaumba vichafu na visafi mkuu!!!
Halafu ukimwita Sir naona humtendei haki, hicho ni cheo kidogo sana kwa Mungu.
probably the best meat in the world.
kitimoto ni uchafu we uliona wapi uchafu ukawekwa mahali safi? mburula.
Nitajieni vijiwe vya Kilwa road kuanzia Aziz Ally, Mtongani hadi Mbagala kwa wazoefu
MKUU,ULIFANIKIWAKwa wapenzi wa nyama ya nguruwe,ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi.Hii ni kwa nn?au kuna mtu humu anafahamu sehemu safi anapotengenezwa nikajionee
Pamebomolewa bwanaNjoo hapa Shekilango opposite na San Siro wanachoma kitomoto safi sana
Eti swaafi wallah, duh!Nenda pale carribean karibu na bunge, kuna kitimoto swaafi wallah.