Hii ndio Jamii forumTuwekee uthibitisho wa screenshot
Dah! kumbe sio pekeyangu, yaani nikiwa nasafari inayolazimu kupanda ndege wiki nzima nakua Sina amani, Bora nipande meli nakua comfortable kuliko ndege.Kwangu mimi ndege siyo issue na sipendi kabisa ndege
Mimi nimekngia saa moja asubuhi nikakuta dar mwanza 120k, nikatamani kukata akati sina safari😁LICHADI anasema mpaka saa 6 usiku ndio utakuta kuna bei za ofa kwenye tovuti yao
Hivyo hivyo mkuuHali ya chini ndege ya nini?
App Yao inaitwajeYani mshindwe nyie download app yao uone
DuhMwanza bus la kawaida sanaa ambalo litaharibika njiani ni 65, lenye kaunafuu 78 Zurii 90-120 na luxury 170 kwahiyo ni mule mulee, tusio na nauli kuna treni za siku 3 uko njiani kama unaenda KG🥵
Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa fast jet ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus
ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana
Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara
Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida
Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now
Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000
Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000
Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi
Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000
Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee
Lala salama John pombe magufuli [emoji1317]
Umenifanya nimiss wimbo wa galang gal😂Duh
Bora nipande train second sleep class kuliko basi galangal
Hahah
True wamejirekebisha bowNiliwahi kuwaambia ATC wanaweza kufanya safari zote za ndani kwa dola $50 na ikawalipa sana kuliko wanavyofanya sasa hivi wakabisha...nakusema sijui wanacopy wapi....
Tatizo marketing manager wa Africa wanakwenda kusomea kukopy na kupaste badala ya kuja na creativity zinazoendana na mazingira yetu
Wak.
Waongeze route Arusha, dodoma, Mwanza na kigoma;...Ndege inalipa hata ukicharge $25 ili mradi ijae muda wate....tena wao parking slot za kwao au pengine wanalipia kidogo
Kwanini hamkuwa mnapandisha nauli kidogo kidogo?Hiyo community airline haikuwahi kupata faida,bahati aliyekuwa anaiendesha ni rafiki yangu na mimi na yeye ndio tulienda uturuki kukodi hizo ndege,hasara ambayo tulikuwa tunaipata per tiket per person per trip tulikuwa tunaidia kwa njia fulani,sasa baada ya huyo mwenye huo mradi alipotumbuliwa basi tukakosa njia ya kufidia hasara na ndipo mradi ukayeyuka yeyuuuuuu
Kuna mtalam wa masuala ya usafirishaji wa anga alikuwa anafanya hesabu ,,,,,,,,wakaona nauli Dar Mwanza yaweza kuwa 70,000..........walipojaribu kufuatilia vibali ili walete ndege zao......walipiogwa zengwe matata.Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa fast jet ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus
ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana
Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara
Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida
Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now
Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000
Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000
Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi
Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000
Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee
Lala salama John pombe magufuli [emoji1317]