angalia tena mi naona imeshuka 2 times, hata ya mwanza to dar ni kitonga.
Ni masaa 18 tajiri LichadiTafuta hela wewe kulalia siti masaa 16 dar mwanza sio sifa
Nimefanyann tena kijana Ape?Mbona ukanifanyia tena ile namna !!!😁
Ina maana hukuelewa ule mkakati swahiba wangu.Nimefanyann tena kijana Ape
Mkakati upi mkuu? Mbona sikumbuki jambo..🤔Ina maana hukuelewa ule mkakati swahiba wangu.
Fungua mlango nikuambieMkakati upi mkuu? Mbona sikumbuki jambo..🤔
Hebu tuliaaa🤓Fungua mlango nikuambie
Una tatizo la kusoma kwa ufahamu na kuelewa.Mm nimepanda ndege tokea 1992 nazaliwa mzee miaka 33 iliyopita usiijichanganye
Panda ndege mtt mzuriHehehe haya Lichadi
Ata hiyo 99k sina imagine😆Panda ndege mtt mzuri
MmhhAta hiyo 99k sina imagine😆
Mwanza bus la kawaida sanaa ambalo litaharibika njiani ni 65, lenye kaunafuu 78 Zurii 90-120 na luxury 170 kwahiyo ni mule mulee, tusio na nauli kuna treni za siku 3 uko njiani kama unaenda KG🥵Mmhh
Kwa iiz nauli mfano basi unakuta mpk 55, hujala njiani dharula mbona inarudi palepale tu
LICHADI anasema mpaka saa 6 usiku ndio utakuta kuna bei za ofa kwenye tovuti yaoMkuu mbona Bei Bado juu ni lak4.