yaani ni ongezeko la 40k za kwenye vip bus mwanawane, tujage daslam nkwelaMwanza to dar leo ijumaa hiyo[emoji16][emoji16]View attachment 3530196
Ongea na dereva vizuri, nalipaga 100k mzee.Allys vip ni 120
wale majamaa huwa baadhi ya seat wana jilipa, mwanangu alinipa code za kinyama 😁[emoji16] kumbee
Tiketi ya leo leo mzee sio tarehe unayokata ww kata leo leo safiri leo leo anfalia za leo ijunaaHizo bei mbona kwenye website yao hazipo?
Hii ni nauli ya Dar to Mbeya muda huu tena ni one root
View attachment 3530201
Au hiyo 90,000 ulimaanisha nauli ya Bolt?
Kasema kuanzia saa 7 etiHizo bei mbona kwenye website yao hazipo?
Hii ni nauli ya Dar to Mbeya muda huu tena ni one root
View attachment 3530201
Au hiyo 90,000 ulimaanisha nauli ya Bolt?
Tiketi ya leo leo mzee sio tarehe unayokata ww kata leo leo safiri leo leo anfalia za leo ijunaa
Kasema kuanzia saa 7 eti
Yah ni kweliNow imerudi 99000[emoji23][emoji16]
Km ni hivi si kila mtu [atapanda] ndege sasa? Ndege itakua sio jambo la anasa tena km ilivyokua treni, sasa hivi treni kawaida tu km unapanda daladala za mwendokasiKwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000