Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa comunity airlines ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus

ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile comunity ikapotea na watu wakalalamika sana

Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu Cag akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara

Sasa sijui Atc itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida

Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now

Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000

Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000

Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi

Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000

Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee

Lala salama John pombe magufuli [emoji1317]
Unapanda ndege unaenda ICC ama unaenda mbinguni?
 
Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa comunity airlines ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus

Ikaja fastjet now walikuwa na nauli ndogo na ndege ilikuwa inagombaniwa

ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile comunity na fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana

Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara

Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida

Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now

Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000

Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000

Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi

Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000

Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee

Lala salama John pombe magufuli [emoji1317]
Usalama vipi. Ndege za Bongo siziamimi
 
Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa comunity airlines ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus

Ikaja fastjet now walikuwa na nauli ndogo na ndege ilikuwa inagombaniwa

ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile comunity na fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana

Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara

Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida

Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now

Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000

Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000

Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi

Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000

Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee

Lala salama John pombe magufuli [emoji1317]
Hiyo community airline haikuwahi kupata faida,bahati aliyekuwa anaiendesha ni rafiki yangu na mimi na yeye ndio tulienda uturuki kukodi hizo ndege,hasara ambayo tulikuwa tunaipata per tiket per person per trip tulikuwa tunaidia kwa njia fulani,sasa baada ya huyo mwenye huo mradi alipotumbuliwa basi tukakosa njia ya kufidia hasara na ndipo mradi ukayeyuka yeyuuuuuu
 
Mkuu unafanyaje ili kupata hiyo bei ya offer, nikiingia naona bei zile zile tu🙆‍♂️
Hao usijidanganye, bei zao zinabadirika kila muda.

Nilikuwa na trip ya Dar Lagos Dar nauli ilikuwa chini kesho yake nafanya booking imeshoot mpaka 1.9 M.
Ilikuwa lazima nisafiri sikuwa na option.
 
Hiyo community airline haikuwahi kupata faida,bahati aliyekuwa anaiendesha ni rafiki yangu na mimi na yeye ndio tulienda uturuki kukodi hizo ndege,hasara ambayo tulikuwa tunaipata per tiket per person per trip tulikuwa tunaidia kwa njia fulani,sasa baada ya huyo mwenye huo mradi alipotumbuliwa basi tukakosa njia ya kufidia hasara na ndipo mradi ukayeyuka yeyuuuuuu
Sawa ni fastjet
 
Hiyo community airline haikuwahi kupata faida,bahati aliyekuwa anaiendesha ni rafiki yangu na mimi na yeye ndio tulienda uturuki kukodi hizo ndege,hasara ambayo tulikuwa tunaipata per tiket per person per trip tulikuwa tunaidia kwa njia fulani,sasa baada ya huyo mwenye huo mradi alipotumbuliwa basi tukakosa njia ya kufidia hasara na ndipo mradi ukayeyuka yeyuuuuuu
Huu siyo muandiko wa Diaro, you just pretending.
 
Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa fast jet ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus

ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana

Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara

Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida

Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now

Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000

Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000

Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi

Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000

Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee

Lala salama John pombe magufuli [emoji1317]
Sasa Magufuli alale salama kwa lipi? Kwa kuwaondoa fast jet au kwa lipi?
 
Back
Top Bottom