Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,222
- 18,381
Magufuli ndiye aliyeifuta fastjet ili kuondoa ushindani kwa ndege za atcl, mindege ile ilikodishwa kutoka kwa shirika la ndege la South africa, magu alipambana nalo hadi akaliua,kwa hilo tulimlaumu sana magu humu, na ukiacha tu issue ya kibiashara inasemekana magu hakuwa na uhusiano mzuri na mwenzake huyo aliyeianzisha fastjet.