Kwa sasa sipo tayari kuolewa, nahitaji kufanya mambo yangu

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
5,343
11,791
Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume anatakiwa kusimama kiuchumi kwanza ndipo awe tayari kwa kuoa.

Kwa mwanamke atapofika umri wa kuwa mtu mzima(miaka 18) na sio mwanafunzi basi yupo tayari kwa kuolewa.

Ukisikia kauli kutoka kwa mwanamke "kwa sasa sipo tayari kuolewa nahitaji kufanya mambo yangu" tafsiri yake ni kwamba bado anahitaji muda wa kuendelea kufanya anasa na umalaya bila bugudha.

Hiki ndicho kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake ya uzuri hiki ndicho kipindi mwanamke anawachomolea au kuwasubirisha kwanza nice guyz na husband materials wakati huo bad boyz ndio wanapewa mzigo

Baada ya miaka mingi sana mwanamke huyu akishaingia kwenye declining stage ya uzuri wake(30+), akishachezewa na bad boyz, akishaalibu kizazi kwa abortions na P-2, kwa kifupi akishakua na background mbaya kwa yoyote mwanaume makini ndipo atakapotulia na kusubiri ajitokeze nice guy mmoja fala fala wa kumuoa.

Hiki ndicho kipindi mwanamke anaanza kuwakumbuka wale nice guyz na husband materialz waliokua wanambabaikia sana kipindi cha nyuma. Mwanaume usije ukaingia kwenye huu mtego wa kuoa makapi.
 
Siyo hivyo Bali anakuwa anamtafuta anayemtaka mwenye vigezo VYOTE kama alivyojipangia ambapo ni vigumu kumpata hivyo basi anakuwa anatoa tu upwayu Kwa wanaume huku akisubiri anayemtaka wa vigezo vyake

Umri ukienda anaanza kupunguza mashart hatimaye mwanaume yeyote yule hata yeyote hapatikani nyie yaaani
 
Siyo hivyo Bali anakuwa anamtafuta anayemtaka mwenye vigezo VYOTE kama alivyojipangia ambapo ni vigumu kumpata hivyo basi anakuwa anatoa tu upwayu Kwa wanaume huku akisubiri anayemtaka wa vigezo vyake

Umri ukienda anaanza kupunguza mashart hatimaye mwanaume yeyote yule hata yeyote hapatikani nyie yaaani
Ni kweli hii ni moja ya sababu pia. Wanapoteza muda kutafuta mwanaume wa fantasy zao. Contents za watu maarufu zinazohusu mapenzi wanazoziona kwenye media na mitandaoni zinawaalibu akili wanafikiria yale ni maisha halisi kumbe ni maigizo tu ya mbele ya kamera.
 
Asilimia kubwa ya wadada walofika 30s au wanaokaribia, wakiwa ktk age ya 22 mpaka 25 wapo wanaume wazuri wenye mapenzi ya dhati huwapenda ila tamaa za maisha ndo zinawafanya mabinti hawa kupoteza dira.

Wakifika ktk huo umri kisha akatoa mshamba mmoja wa kuoa huwa wanamshikilia haswa.

Wanaume tuwe makini sana. Mimi nmesurika kuchukua kapi.
 
Asilimia kubwa ya wadada walofika 30s au wanaokaribia, wakiwa ktk age ya 22 mpaka 25 wapo wanaume wazuri wenye mapenzi ya dhati huwapenda ila tamaa za maisha ndo zinawafanya mabinti hawa kupoteza dira.

Wakifika ktk huo umri kisha akatoa mshamba mmoja wa kuoa huwa wanamshikilia haswa.

Wanaume tuwe makini sana. Mimi nmesurika kuchukua kapi.
Kuna watu ni poor brain aiseee.
😂😂😂😂
 
Asilimia kubwa ya wadada walofika 30s au wanaokaribia, wakiwa ktk age ya 22 mpaka 25 wapo wanaume wazuri wenye mapenzi ya dhati huwapenda ila tamaa za maisha ndo zinawafanya mabinti hawa kupoteza dira.

Wakifika ktk huo umri kisha akatoa mshamba mmoja wa kuoa huwa wanamshikilia haswa.

Wanaume tuwe makini sana. Mimi nmesurika kuchukua kapi.
Piga chini makapi. Wakaolewe na waliowachezea.
 
Wanawake wazuri wanapata akili kwenye 30s , ila 20s wanakuwa ni mali ya umma.

Haijalishi unahudumia vipi ila wajuba watamt0mb@ tu.
Kuna siku nikimsikia dada mmoja kwa masikio yangu mawili, mmewe ana V8 na gari nyingine mbili za kutembelea wanashare na mkewe, wana nyumba ya kifahari, nikisema nyumba ya kifahari namaanisha, office ambayo mkewe anashinda kwa thamani inafika milioni zaidi ya 200 kwa sababu vifaa vilivyomo tu unajiongeza.

Nilimsikia yule dada anasema "yaani wakati mwingine unajisikia kabisa kubadili mwanaume".

Hapo tumekaa mahala flani tunakunywa whiskey na yeye akiwepo na jamaa wengine wawili.

Ukimuona huyo dada ni pisi kweli kweli.

Nikajisemea tu moyoni ihiiiiiiiiiii....
 
Siyo hivyo Bali anakuwa anamtafuta anayemtaka mwenye vigezo VYOTE kama alivyojipangia ambapo ni vigumu kumpata hivyo basi anakuwa anatoa tu upwayu Kwa wanaume huku akisubiri anayemtaka wa vigezo vyake

Umri ukienda anaanza kupunguza mashart hatimaye mwanaume yeyote yule hata yeyote hapatikani nyie yaaani
Maisha hayajawahi kupangiwa na Binadamu isipokuwa maisha hutupangia Binadamu jinsi yalivyokuwa/yanavyokuwa/yatavyokuwa maana kila kitu kilishapangwa duniani hata kabla Binadamu hatujazaliwa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Wanawake wazuri wanapata akili kwenye 30s , ila 20s wanakuwa ni mali ya umma.

Haijalishi unahudumia vipi ila wajuba watamt0mb@ tu.
Kuna siku nikimsikia dada mmoja kwa masikio yangu mawili, mmewe ana V8 na gari nyingine mbili za kutembelea wanashare na mkewe, wana nyumba ya kifahari, nikisema nyumba ya kifahari namaanisha, office ambayo mkewe anashinda kwa thamani inafika milioni zaidi ya 200 kwa sababu vifaa vilivyomo tu unajiongeza.

Nilimsikia yule dada anasema "yaani wakati mwingine unajisikia kabisa kubadili mwanaume".

Hapo tumekaa mahala flani tunakunywa whiskey na yeye akiwepo na jamaa wengine wawili.

Ukimuona huyo dada ni pisi kweli kweli.

Nikajisemea tu moyoni ihiiiiiiiiiii....
Me tuishi ki-sungura sungura (akili) kwenye ndoa la sivyo kuwaamini Ke kimahusiano 100% ni kujitafutia vifo vya mapema kabla ya tarehe tulizoandikiwa na Mungu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Wanawake wazuri wanapata akili kwenye 30s , ila 20s wanakuwa ni mali ya umma.

Haijalishi unahudumia vipi ila wajuba watamt0mb@ tu.
Kuna siku nikimsikia dada mmoja kwa masikio yangu mawili, mmewe ana V8 na gari nyingine mbili za kutembelea wanashare na mkewe, wana nyumba ya kifahari, nikisema nyumba ya kifahari namaanisha, office ambayo mkewe anashinda kwa thamani inafika milioni zaidi ya 200 kwa sababu vifaa vilivyomo tu unajiongeza.

Nilimsikia yule dada anasema "yaani wakati mwingine unajisikia kabisa kubadili mwanaume".

Hapo tumekaa mahala flani tunakunywa whiskey na yeye akiwepo na jamaa wengine wawili.

Ukimuona huyo dada ni pisi kweli kweli.

Nikajisemea tu moyoni ihiiiiiiiiiii....
Daaah! Haya mambo yanafikrisha sana.., ukiwa na maisha safi utagongewa tu kama mwanetu huyo sijui kama hii pisi yake ilinusurika kuliwa baada ya hizo pombe, napo ukiwa apeche aloloo unagongewa tu yaani wajuba wanageuza geuza kama mshkaki mwanamke wako wengine wanaenda mbali na kuchoma choma kila tundu la mwili wake...
 
Okay huu nao ni ushahidi kuwa wanaume ndio wanahitaji zaidi ndoa kuliko wanawake, maana wanawake wakiwa mabinti kuna wanaume wanahitaji kuwaoa na hata wakiwa wasimbe, bado hawakosi wanaume wa kuwaoa ambao ndio hao mnawaita 'mafala' ilihali ni wanaume kama ninyi tu
 
Okay huu nao ni ushahidi kuwa wanaume ndio wanahitaji zaidi ndoa kuliko wanawake, maana wanawake wakiwa mabinti kuna wanaume wanahitaji kuwaoa na hata wakiwa wasimbe, bado hawakosi wanaume wa kuwaoa ambao ndio hao mnawaita 'mafala' ilihali ni wanaume kama ninyi tu
Mzee wa kubishana na uhalisia ushakuja. Nenda kwa mwamposa fanya research kwa waganga wa jadi utajua ni jinsia gani ipo desperate na ndoa.
 
Back
Top Bottom