Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,148
Hali ya sintofahamu imezidi kutanda katika sekta binafsi hapa nchini Tanzania baada ya Baadhi ya Makampuni makubwa(Kama Dangote Cement) na madogo kufunga biashara, kupunguza mtaji, kutangaza kupata hasara au Kupungua kwa faida, huku sababu hasa zikisemwa kuwa ni...
1/Mabadiliko ya kisera yasiyoweza kutabilika.
2/Mifumo ya ukusanyaji kodi.
3/Misukumo ya Kisiasa katika utendaji.
4/Mzunguko mdogo wa Kipesa.
1/Mabadiliko ya kisera yasiyoweza kutabilika.
2/Mifumo ya ukusanyaji kodi.
3/Misukumo ya Kisiasa katika utendaji.
4/Mzunguko mdogo wa Kipesa.