cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
- Thread starter
- #81
Acha matusi basiWe zako kugegedwa tu,siasa waachie kina salary slip
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha matusi basiWe zako kugegedwa tu,siasa waachie kina salary slip
Wanadamu tukipendana mambo kama haya ni nadra kujitokeza!Rais anatoa Ndege kusafirisha mwili wa marehemu Ruge na waombolezaji kwenda Bukoba kwa ajili ya maziko
Kwa hali hii inaonyesha msiba huu unakuwa kama Ruge ni kiongozi wa serikali au amewahi kufanya kazi serikalini
Cha kusikitisha wakati aliyekuwa mbunge wa Moshi mjini Mzee Ndesamburo,wananchi waliomba uwanja ili kuweza kumuaga rafiki yao kipenzi ,aliyekuwa kiongozi wao,kiserikali na kichama lakini jeshi la polisi liliwazuia wananchi hao
Ruge heshima kila mtaa lakini Nkidesamburo hapana
Only Tanzania kuna mambo kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeshindwa kujua Ndesamburo ni Nani basi sina namna ya kukusaidia zaidi mkuuKwani ndesa ni Nani ? Na Ruge ni Nani? Ruge amafanyia taifa mangapi?
Usiutazame msiba WA Ruge kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani Mzee Ndesamburo alinyimwa uwanja wa vumbi , Ruge yeye kapewa kabisa Ukumbi Na Ndege ! Aloooh! JIWE Mungu anakuona ujue
Sent from my Iphone using Tapatalk
Kama Rais ameamua kutoa rambirambi yake kwa kulipia ndege ili kusafirisha maziko ya Ruge kuna haja gani ya kuonyesha risiti hadharani , acha ushamba kukodi ndege sio kitu kikubwa kiviiile kiasi kwamba wewe kikutoe roho,Rais anatoa Ndege kusafirisha mwili wa marehemu Ruge na waombolezaji kwenda Bukoba kwa ajili ya maziko
Kwa hali hii inaonyesha msiba huu unakuwa kama Ruge ni kiongozi wa serikali au amewahi kufanya kazi serikalini
Cha kusikitisha wakati aliyekuwa mbunge wa Moshi mjini Mzee Ndesamburo,wananchi waliomba uwanja ili kuweza kumuaga rafiki yao kipenzi ,aliyekuwa kiongozi wao,kiserikali na kichama lakini jeshi la polisi liliwazuia wananchi hao
Ruge heshima kila mtaa lakini Ndesamburo hapana
Only Tanzania kuna mambo kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Konki Konki Konki.Tulizeni mihemko
Vipi dola inapanda au bado ni mihemko kama ya....Tulizeni mihemko
Hata kama ni Pesa katoa utakuta ndo zile ambazo kwenye ukaguzi hazijulikani zimetumikaje! R.I.P Ruge, Wote kwa Mola twarejeaMh. Rais Kama katoa Fedha kuwapa ATC kusafirisha Msiba wa Ruge nampongeza kwa hatua hiyo LAKIN Kama katoa 'dokezo' la Maelekezo tu ATC wasafirishe Msiba si Sawa kwa Kuwa Maelekezo Na Miongozo ya namna hiyo ndio yanaua Mashirika ya Umma Mara zote
kwenda na kurudi la 600000 mkuuNina hakika hakutoa hata senti au kama katoa basi iwekwe hadharani katoa kiasi gani kwenda na kurudi na katoa kutoka fungu lipi.
Una wowowoo kubwaa!!Rais anatoa Ndege kusafirisha mwili wa marehemu Ruge na waombolezaji kwenda Bukoba kwa ajili ya maziko
Kwa hali hii inaonyesha msiba huu unakuwa kama Ruge ni kiongozi wa serikali au amewahi kufanya kazi serikalini
Cha kusikitisha wakati aliyekuwa mbunge wa Moshi mjini Mzee Ndesamburo,wananchi waliomba uwanja ili kuweza kumuaga rafiki yao kipenzi ,aliyekuwa kiongozi wao,kiserikali na kichama lakini jeshi la polisi liliwazuia wananchi hao
Ruge heshima kila mtaa lakini Ndesamburo hapana
Only Tanzania kuna mambo kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
kwen
kwenda na kurudi la 600000 mkuu
Acha uongo watu wa kaskazini wapi wewe? usijifiche kwenye kaskazini , kaskazini ina makabila mengi mbona yako vizuri hilo lako usilifiche kwenye ukaskazini sema labda hilo kabila lako, wakaskazini wengine achana nao na uwakome kujificha kwenye kichaka chao.Waarabu wanaojilipua sio wajinga,mambo ya kibaguzi na kijinga kama haya. Tena saiv hakuna maadui wa serekali kama watu wa kaskazini,kila mtu anaoetoka kule ni mwiz ila kanda ya ziwa ni wapiga kira wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais anatoa Ndege kusafirisha mwili wa marehemu Ruge na waombolezaji kwenda Bukoba kwa ajili ya maziko
Kwa hali hii inaonyesha msiba huu unakuwa kama Ruge ni kiongozi wa serikali au amewahi kufanya kazi serikalini
Cha kusikitisha wakati aliyekuwa mbunge wa Moshi mjini Mzee Ndesamburo,wananchi waliomba uwanja ili kuweza kumuaga rafiki yao kipenzi ,aliyekuwa kiongozi wao,kiserikali na kichama lakini jeshi la polisi liliwazuia wananchi hao
Ruge heshima kila mtaa lakini Ndesamburo hapana
Only Tanzania kuna mambo kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi propangada hebu kawadanganye Lumumba huko,kila mtu aliona msiba ulisemwa usiwe wa kisiasa ila ccm mkahodhi msiba na minguo yenu ya kijaniKwani chadema mlienda mazishi ya kanda ya ziwa kwenye Jimbo lenu kuomboleza na kuzika mamia ya wapiga kura wenu waliiokufa ajali ya meli? Mlifurika mazishi ya ndesamburo mtu mmoja mkaacha kwenda kufurika kwa mamia waliokufa ajali ya meli kisa tu sio wa kabila yenu mnafikiri tumesahau?
Hivi unauelewa muungano wa hao watu wawili?
Unajua kama Mama Mdogo wa taifa aliyefanya iwezekane ni huyu jamaa?
Mkuu hauishi Tz?Mama wadogo wa Taifa wapo wawili, hebu kuwa specific, je ni yule mweupe mnene au yule mwembamba mwenye kinukta!!!???
Kumbe hiyo tabia ni biashara nzr