Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,243
- 13,535
😀Katika nchi hii yenye makabila 120 ni kabila Moja tu lenye hasira sana na CCM mengine 119 hayana shida.Haya endeleeni
😀Katika nchi hii yenye makabila 120 ni kabila Moja tu lenye hasira sana na CCM mengine 119 hayana shida.Haya endeleeni
Kama ulishawahi kupigiwa pasi ya namna hiyo lazima uelewe bonding inavyokuwa.
Duhh kumbe !!!Hivi unauelewa muungano wa hao watu wawili?
Unajua kama Mama Mdogo wa taifa aliyefanya iwezekane ni huyu jamaa?
Kuna wakati nakuona mjinga wewe! Ila sikujua kuwa na upumbavu unaoKwani chadema mlienda mazishi ya kanda ya ziwa kwenye Jimbo lenu kuomboleza na kuzika mamia ya wapiga kura wenu waliiokufa ajali ya meli? Mlifurika mazishi ya ndesamburo mtu mmoja mkaacha kwenda kufurika kwa mamia waliokufa ajali ya meli kisa tu sio wa kabila yenu mnafikiri tumesahau?