Kwa nn unawachukia wachaga? Unamaanisha uchagan hakuna mwenyekiti, dawani, wala mbunge wa CCM? Kama wapo wamepigiwa kura na nan? Iringa, mbeya, morogoro, dar huko nako kote kuna wenyeviti, nadiwan na wabunge wa chadema nako huko kote wanaishi wachaga au wachaga ndo waliochaguliwa au unamaanisha upinzani wote bungeni wachaga.
Chuku, udini, ukabila unajengwa na watu kama nyinyi na wenzenu unao wawakilisha.
Kama kabila lina maendeleo usiingiwe na chuki ila na ww simama ulifanishe kabila lako kwa maana maendeleo ya kabila huletwa na wanakabila wenyew chuki zenu zinatokana na maendeleo sio kingine mnaingiza kwenye siasa na sehemu nyingine hii ni mbaya sana kwa Taifa
Sent using
Jamii Forums mobile app