MdugeH
Member
- May 25, 2013
- 61
- 23
Nimesoma Rasimu ya Katiba Mpya- 2013 hasa katika vipengele vya sifa za atakayekuwa Rais, Makamu wa Rais, Waziri na Naibu waziri nikajiuliza nafasi ya Dr. Slaa, Mbowe, Mnyika na Sugu katika Serikali ikiwa CDM watataka kudhibiti dola mwaka 2015..!!!?? Kwani Ibara ya 75, 88 na 94 ya Rasimu ya Katiba inasema moja kati ya sifa za watajwa hapo juu ni kuwa angalau ana shahada ya kwanza ya Chuo Kikuu kinachotambulika kwa mujibu wa Sheria za nchi.
NB: Naomba majibu au hoja zisizo na ushabiki wa kichama katika hili..!!
NB: Naomba majibu au hoja zisizo na ushabiki wa kichama katika hili..!!