Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Ndiyo maana tunapiga kelele kuwekewa rasimu online tuisome wenyewe.Jackton rasimu inazungumzia mgombea binafi kwa nafasi ya urais tu weye umesoma rasimu gani? Ndio maana unaandamwa!
Kuna Serikali za Shirikisho ambazo imependekezwa zitakuwa na katiba zake, yaani serikali ya Mapinduzi na Tanzania bara.
Labda cha kuiuliza tume ni hierachy ya ungozi wa serikali washirika na utambulisho wao ktk shirikisho maana kama tuna Rais wa Shirikisho na ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu viongozi wa juu bara na visiwani wataitwaje?
Mimi nilifikiri wagombea binafsi itakuwa katika ngazi zote za uongozi kwa maana kuwa madiwani, wabunge na Rais.
Thanks.