Umefikiria kuhusu gharama za uchaguzi wa marudio?!!!!!!!!!!!! au mradi umesema tu!!raundi ya pili inahusu wagombea wawili tu wenye kura nyingi hivyo lazima mmoja atapata zaidi ya 50%
Umefikiria kuhusu gharama za uchaguzi wa marudio?!!!!!!!!!!!! au mradi umesema tu!!
Umefikiria kuhusu gharama za uchaguzi wa marudio?!!!!!!!!!!!! au mradi umesema tu!!
Ni mwanzo mzuri wa muungano fake kuishia na ccm kufikia tamati!!!!
Subiri utaona tu,si unajifanya kutokujua? Hii katiba ni parent Law ambapo katiba nyingine za tanganyika na zanzibar lazima zi comply na hii,they shall be unconstitutional if they are repugnant with the parent law,ndo maana tunasema NEC CCM Wahamie kuuza tembo kazi wanayoiwezaHii ni katiba ya jamhuri ya Tz mmbo ya ccm yanatoka wapi? Wavivu wasiopenda kufanya kazi ndio wanaopenda ccm itoke madarakani , wanaota
Weka chuki binafsi pembeni. Tujadili mambo ya msingi. Heri ninayejifanya mwandishi kuliko anayefanywa kwa kuwa hayuko shallow!
Wewe umeleta thred ya kijinga halafu unategemea ujibiwe kiungwana???? Hii ni katiba ya nchi sio ya chama, kama una mahaba na ccm, chadema au cuf huko huko, hapa umebugi meeeen!!!!!Usitafute huruma hapa! Jadili hoja. Nimesema kwa rasimu hii, kama tutapata Katiba mpya kwa mapendekezo yaliyomo, CCM itakuwa inakabiliwa na kifo. Kama una maoni tofauti, yaweke hapa. kashfa na vijembe si mambo ya waungwana.
"RASIMU" hili neno lina maana gani???? Wana JF hebu nijuzeni tafadhali.
Wadau, wale tuliofuatilia vema Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba, ni wazi kwamba kwa mapendekezo ya rasimu, CCM inakufa. Kuruhusu wagombea binafsi kuanzia Kitongoji hadi Taifa, kunatoa mwanya kwa wanaCCM wengi wasiopenda yanayoendelea ndani ya chama hicho, wawe huru kuamua pa kwenda. Aidha, mapendekezo haya ya Katiba mpya yanaleta utaifa zaidi ya u-chama. Sioni CCM watachomoka vipi.
Sijui wengine mna mtazamo gani.