Kwa Ramani ya Gambia ilivyo ECOWAS wataipiga ndani ya one week!!

unaposema akamatwe tu ni nan atakayemkamata na mtu yupo nchin kwake na majesh yake yanamsapoti????????

Ndiyo sababu nikasema makomando wachache sana wanaweza kufanikisha bila hata ya kumwaga damu, na bila hata vita.

Wala haihitaji matumizi ya nguvu zaidi ya ushirikishi wa akili na nia. Kama unataka kujua undani wa hili, ni pm. Huwa sipendi kuanika mbinu za kivita hadharani kwa maslahi mapana ya taifa langu.
 
Kwa hiyo Mkuu wangu,
Kukaa madarakani miaka 20: Bunge kumuongezea muda wa kukaa madarakani :Na Mawaziri 5 kuachia ngazi unadhani ndiyo sababu tosha za kuidhinisha uvamizi wa kijeshi nchini Gambia?
Mkuu! Alishindwa kwenye Uchaguzi, Na mwanzo alikiubari kushindwa baadaye akakataa, hatuwezi kuwavumilia viongozi Kama hawa Africa, wanatutia aibu...... Basi bora hata angekua amefanya kitu kwa raia wake! Hamna...! Raia wake wamemkataa, kwa nini asiondoke? Mimi Na support nguvu za kijeshi dhidi yake Na itakua fundisho kwa wengine!!!
 
Mkuu! Alishindwa kwenye Uchaguzi, Na mwanzo alikiubari kushindwa baadaye akakataa, hatuwezi kuwavumilia viongozi Kama hawa Africa, wanatutia aibu...... Basi bora hata angekua amefanya kitu kwa raia wake! Hamna...! Raia wake wamemkataa, kwa nini asiondoke? Mimi Na support nguvu za kijeshi dhidi yake Na itakua fundisho kwa wengine!!!
na jeshi lake halizidi wanajeshi 2500. naona watamfanya asusa
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!

Nadhan mfano mzuri ni Israel. Nchi kama 8 za kiarabu zimejaribu kuungana kila mara kuipiga lkn wanaishia kupigwa wao. Nadhan ni zaidi ya udogo na kuzungukwa
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!

Nadhan mfano mzuri ni Israel. Nchi kama 8 za kiarabu zimejaribu kuungana kila mara kuipiga lkn wanaishia kupigwa wao. Nadhan ni zaidi ya udogo na kuzungukwa
It's too late now. .. stay tuned , maana hakukuwa na namna nyingine.... ni fundisho kwa maraisi wengine wenye mawazo kama ya Yahya Jameh


.... happening for a reason
 
Hivi hakuna njia nyingine yoyote ya kumfanya Jammeh aachie madaraka zaidi ya kumvamia kijeshi?
Gambia ni nchi ndogo sana na uchumi wake ni wa biskuti, mkiwawekea vikwazo miezi mitatu tu ni lazima uvunjike.
Kimkakati uvamizi wa kijeshi ni njia ya mwisho endapo njia nyingine zimeshindwa.
Wanaweza kuvamia The Gambia na kusababisha majanga makubwa zaidi hata ya Jammeh.
Mkuu vikwazo vitakuwa na matokeo lengwa ikiwa tu wataweza kuzuia mlango bahari (bandari) uliopo banjui usitumike.. Hii inamaanisha vikosi vya majini-Navy wafanye blockade kama Israel wanavyowafanyia Wapalestina wa Gaza.. Hakuna kitu kuingia wala kutoka.. Vinginevyo jamaa ataendelea kufanya biashara hasa kuagiza vitu toka nchi za mbali haswa ulaya na kusini magharibi ya Afrika
 
Ndiyo sababu nikasema makomando wachache sana wanaweza kufanikisha bila hata ya kumwaga damu, na bila hata vita.

Wala haihitaji matumizi ya nguvu zaidi ya ushirikishi wa akili na nia. Kama unataka kujua undani wa hili, ni pm. Huwa sipendi kuanika mbinu za kivita hadharani kwa maslahi mapana ya taifa langu.
mkuu you are talking about a country with armed forces and its intelligence agencies........hcho unachoongea kipo kitheory zaid huwez ukafanya raid kwe nchi ya watu simple hvyo kisha ukamteka rais na kuondoka naye.....hayo yangekuwa yanawezekana tungeshuhudia mataifa makubwa kama US ama RUSSIA wakifanya hvyo kwenye situation jama hizi....
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!
Rwanda imewahi kupigana na nchi gani au kupeleka waasi Kongo unaisifu,
 
Ujinga wa nchi za Afrika zinakuwa mstari wa mbele kwenye mambo ya kijinga..
Nigeria wameshindwa kuwaondoa waasi wa waliteka watoto wa shule wataweza kumtoa rais???
Wameshindwa kukomesha mauaji. Afrika ya kati wataweza kumtoa rais???
AU bado wanasafari ndefu
gambia yenyew ni nchi ndogo yenye watu kama nusu ya idadi ya wakazi wa dar
 
Ukweli ni kwamba vita ni mbaya.. alafu kiujumla uchumi wa Gambya hauko imara sana kueweza kufanya vita na Ecowas.. ila uyu jmaa the Heg inamhusu..
 
mkuu you are talking about a country with armed forces and its intelligence agencies........hcho unachoongea kipo kitheory zaid huwez ukafanya raid kwe nchi ya watu simple hvyo kisha ukamteka rais na kuondoka naye.....hayo yangekuwa yanawezekana tungeshuhudia mataifa makubwa kama US ama RUSSIA wakifanya hvyo kwenye situation jama hizi....
Noriega alifanywa nini na US
 
Watu chakula hatuna majumbani mwetu half mtu anataka vita any way mwenye hata buku mbili anisaidie nikale
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!
Kwa upande wa mashambulizi ya anga hataiweza Senegal coz ndege zake zikiruka tu zishaonekana na vikosi vya senegal...the same apply to Rwanda..hata yeye kutushambulia Tz kwa njia ya anga ni ngumu lazima ndege zake zote zitaishia kudunguliwa tu
 
Tena gambia inafaa kuwa makao makuu ya senegal ilipokaa kijiografia. Wajiongezee kamkoa ka gambia.
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!
Jeshi na vitaa haviko hivyo kama unavyo dhaani.

Ainaa ya uoto wa sehemu, ukanda na uwanda wa sehemu, geographical location , hali ya hewa na vitu vingine vingi vya kima zingira vina sehemu kubwa sana katika kuleta ushindi au kushindwa vita.... Ukiachilia mbali mafunzo na ukakamavu wa jeshi lako..


NOTE: NDIO MAANA KATIKA SHERIA ZA KIPINDI CHA NYUMA, ILIKATAZA NCHI KUBADILISHA HALI YA HEWA YA NCHI NYINGINE HATA WAKIWA KATIKA VITA...
 
Jammeh anawaza mambo mawili , mosi jinsi ya kukwepa mizinga ya manuari ya Nigeria. Pili jinsi ya kukwepa mashitaka yatakayo mkabili. End of the road
 
Back
Top Bottom