Kwa Ramani ya Gambia ilivyo ECOWAS wataipiga ndani ya one week!!

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,961
48,764
Yahya Jammeh amejiongezea miezi mitatu wakati akijua kabisa hawezi shinda vita yeyote itakayoanzishwa na nchi hata moja tu ya west Africa.

Senegal pekee Kwa ramani hii anaweza kuipiga Gambia hata ndani ya wiki moja hivi unawezaje kuipiga nchi ambayo imekuzunguka kila upande?....

41af8aa3d4f73a73a785a6445a5b4e3a.jpg

ee5eb62f75c9d25dcd9d3c86b14a1364.gif
1dec0c56c3daa4f2af9736dcfef5b127.gif

Hivi nchi kama hii Kwa geographic location aliyonayo wanaweza kupigana na nchi zaidi ya moja tena zilizo Jirani Kwa muda mrefu bila kusambalatika?...

Ningekuwa msashauri Wa Jammeh ningemshauri ahachane na mpango wake Wa kutaka kuanzisha vita na Senegal, Nigeria na Liberia wakati anajua kabisa hatashinda.....
 

Attachments

  • 1484748885825.png
    1484748885825.png
    24 KB · Views: 79
  • 1484748934658.jpg
    1484748934658.jpg
    93.9 KB · Views: 77
  • 1484749645407.jpg
    1484749645407.jpg
    93.9 KB · Views: 82
  • 1484749668087.jpg
    1484749668087.jpg
    93.9 KB · Views: 78
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!
 
Hivi hakuna njia nyingine yoyote ya kumfanya Jammeh aachie madaraka zaidi ya kumvamia kijeshi?
Gambia ni nchi ndogo sana na uchumi wake ni wa biskuti, mkiwawekea vikwazo miezi mitatu tu ni lazima uvunjike.
Kimkakati uvamizi wa kijeshi ni njia ya mwisho endapo njia nyingine zimeshindwa.
Wanaweza kuvamia The Gambia na kusababisha majanga makubwa zaidi hata ya Jammeh.
 
Nimezungumzia jeuri sio vita!Huu ukanda wetu una utulivu lakini angalia au jikumbushe mikwara ya kagame..Hata hivyo mfano huu unaweza kuufananisha na mataifa ya mashariki ya mbali..Utagundua kitu kwa niliyokueleza..
Vita sio mikwara......

Kagame mwenyewe anajua kabisa kuwa Tanzania haiwezi kuivamia Rwanda ndio maana alikuwa akiongea lakini ukweli unabaki kuwa hana lolote .........

Kama ilivyo Gambia haina lolote kama tu Ivory coast yenye jeshi imara walipigwa mapema sana na ECOWAS ije iwe Gambia ......

Nakuhakikishi Gambia hata Senegal pekee itamsambalatisha ........

Tofautisha mtu ambaye hujui atashambulia lini na anakifata kwako wewe huendi nyumbani kwake......

Jammeh analijua hilo kuwa hawezi kushinda hii vita kilichobaki anatoa vitisho ili waje tena kwenye dialogue.....
 
Nimezungumzia jeuri sio vita!Huu ukanda wetu una utulivu lakini angalia au jikumbushe mikwara ya kagame..Hata hivyo mfano huu unaweza kuufananisha na mataifa ya mashariki ya mbali..Utagundua kitu kwa niliyokueleza..

mkuu acha habari za mikwara! moja ya mbinu za vita ni postion uliyopo..mbali na hilo gambia hana ubavu wa kupigana hata na senegal achilie ECOWAS..gambia ina watu hawafiki mili 3...budget ya jeshi la senegal ni mara 20 ya ile ya gambia..

mkuu vita siyo maneno kama ingekuwa ni maneno id amin dada angetutwanga..
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!
mkuu may be uko sahihi...lakin ukishakua landlocked tu tayar inakua ngumu sana kusnda vita na majiran zako....vita sio kupigana tu ugumu utakuja pale kwa kununua silaha zngne kujazia zilizopungua sijui ztaingia vipi sasa maana huwez kutumia airspace ya mtu unaepigana nae..........
 
Hivi hakuna njia nyingine yoyote ya kumfanya Jammeh aachie madaraka zaidi ya kumvamia kijeshi?
Gambia ni nchi ndogo sana na uchumi wake ni wa biskuti, mkiwawekea vikwazo miezi mitatu tu ni lazima uvunjike.
Kimkakati uvamizi wa kijeshi ni njia ya mwisho endapo njia nyingine zimeshindwa.
Wanaweza kuvamia The Gambia na kusababisha majanga makubwa zaidi hata ya Jammeh.

Umeuliza swali zuri. Labda humu hatuwezi pata jibu na huenda siyo mahali sahihi. Na ni ukweli pia wasomaji humu ndani tunapata hasira kweli kweli kwa yanayotokea huko, hata mimi nilitamani kuwe na uwezo wa kutuma tu kikosi kazi kwenda kumnyakua jamaa kama tulivyosikia kwa Osama, lakini naamini ECOWAS hawatafanya makosa kwamba wapiga kura wataabike kwa maamuzi yao wakati waliombwa kufanya maamuzi ?
 
Yahya Jammeh amejiongezea miezi mitatu wakati akijua kabisa hawezi shinda vita yeyote itakayoanzishwa na nchi hata moja tu ya west Africa.

Senegal pekee Kwa ramani hii anaweza kuipiga Gambia hata ndani ya wiki moja hivi unawezaje kuipiga nchi ambayo imekuzunguka kila upande?....

41af8aa3d4f73a73a785a6445a5b4e3a.jpg

ee5eb62f75c9d25dcd9d3c86b14a1364.gif
1dec0c56c3daa4f2af9736dcfef5b127.gif

Hivi nchi kama hii Kwa geographic location aliyonayo wanaweza kupigana na nchi zaidi ya moja tena zilizo Jirani Kwa muda mrefu bila kusambalatika?...

Ningekuwa msashauri Wa Jammeh ningemshauri ahachane na mpango wake Wa kutaka kuanzisha vita na Senegal, Nigeria na Liberia wakati anajua kabisa hatashinda.....

Sioni sababu ya kuumiza raia wasiokuwa na hatika kwa vita isiyohitajika..

Wamkamate tu na kumfungulia kesi ya uhaini kama kaitba ya nchi inazungumza vile. Komando wachache sana wanaweza kumbeba na kumshughulikia akiwa nje ya Gambia ili kuokoa raia wengine. Mauaji hatutaki. Amechinja wengi na ndiyo sabbu ya kukimbilia kuiondoa nchi kwenye ICC as if Wagambia ndio wanataka kiongozi mumiani. Anaogopa kuadhibiwa kwa uaharifu wa kibiandamu ambao amewafanyia Wagambia na hicho ndicyo kinamfanya ang'ang'anie madarakani.

Kikundi chochote kinacholazimisha ushindi ama kubaki madarakani hata kwa njia haramu (mf.), upande wa pili kuna hofu ya adhabu zitokanazo na uharifu kwa raia.

Asomaye na Afahamu
 
Nimezungumzia jeuri sio vita!Huu ukanda wetu una utulivu lakini angalia au jikumbushe mikwara ya kagame..Hata hivyo mfano huu unaweza kuufananisha na mataifa ya mashariki ya mbali..Utagundua kitu kwa niliyokueleza..
Utakuwa ni ccm wewe ndo wanamawazo ya aina hii ....
 
Yahya Jammeh amejiongezea miezi mitatu wakati akijua kabisa hawezi shinda vita yeyote itakayoanzishwa na nchi hata moja tu ya west Africa.

Senegal pekee Kwa ramani hii anaweza kuipiga Gambia hata ndani ya wiki moja hivi unawezaje kuipiga nchi ambayo imekuzunguka kila upande?....

41af8aa3d4f73a73a785a6445a5b4e3a.jpg

ee5eb62f75c9d25dcd9d3c86b14a1364.gif
1dec0c56c3daa4f2af9736dcfef5b127.gif

Hivi nchi kama hii Kwa geographic location aliyonayo wanaweza kupigana na nchi zaidi ya moja tena zilizo Jirani Kwa muda mrefu bila kusambalatika?...

Ningekuwa msashauri Wa Jammeh ningemshauri ahachane na mpango wake Wa kutaka kuanzisha vita na Senegal, Nigeria na Liberia wakati anajua kabisa hatashinda.....
Ujinga wa nchi za Afrika zinakuwa mstari wa mbele kwenye mambo ya kijinga..
Nigeria wameshindwa kuwaondoa waasi wa waliteka watoto wa shule wataweza kumtoa rais???
Wameshindwa kukomesha mauaji. Afrika ya kati wataweza kumtoa rais???
AU bado wanasafari ndefu
 
Sioni sababu ya kuumiza raia wasiokuwa na hatika kwa vita isiyohitajika..

Wamkamate tu na kumfungulia kesi ya uhaini kama kaitba ya nchi inazungumza vile. Komando wachache sana wanaweza kumbeba na kumshughulikia akiwa nje ya Gambia ili kuokoa raia wengine. Mauaji hatutaki. Amechinja wengi na ndiyo sabbu ya kukimbilia kuiondoa nchi kwenye ICC as if Wagambia ndio wanataka kiongozi mumiani. Anaogopa kuadhibiwa kwa uaharifu wa kibiandamu ambao amewafanyia Wagambia na hicho ndicyo kinamfanya ang'ang'anie madarakani.

Kikundi chochote kinacholazimisha ushindi ama kubaki madarakani hata kwa njia haramu (mf.), upande wa pili kuna hofu ya adhabu zitokanazo na uharifu kwa raia.

Asomaye na Afahamu
unaposema akamatwe tu ni nan atakayemkamata na mtu yupo nchin kwake na majesh yake yanamsapoti????????
 
Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!



Eti Rwanda ina jeuri, my foot! Rwanda ina jeuri gani? Kuingia Congo kuiba maliasili? Mbona walishindwa kuwatetea M23; kitengo mahsusi cha jeshi la Rwanda cha wizi wa maliasili za Drc, jeuri ipi?!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom