Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Kwa hiyo Mkuu wangu,
Kukaa madarakani miaka 20: Bunge kumuongezea muda wa kukaa madarakani :Na Mawaziri 5 kuachia ngazi unadhani ndiyo sababu tosha za kuidhinisha uvamizi wa kijeshi nchini Gambia?
Mkuu sababu kubwa ni kukataa kukabidhi madaraka kwa Adama Barrow tu. Basi. Kumbuka alikubali matokeo kabla!