Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,734
- 29,124
Mzuka wanajamvi!
Kuna rafiki yangu msenegali ameenda kwao kumshughikia mke na mtoto wake Visa.
Tumewasiliana kwenye Whatsapp anavyonisimulia kwa kweli hali inatisha tofauti tunavyosoma kwenye vyombo vya habari.
Mjini Dakar mji mkuu wa Senegal hapaendeki. Mamia ya watu wameuwawa na vyombo vya ulinzi na usalama. Lakini serikali inaficha Idadi.
Watu wameondoa hela zao benki hadi kuna uhaba.
Ofisi za umma mahospitali na balozi zote zimefungwa kupelekea huduma za jamii na za kibalozi kusimama na kudodora.
Senegal ilikuwa nchi, tulivu,
Stable na demokrasia.
Ni uroho wa madaraka wa viongozi wengi wa Kiafrika.
Mack Sally rais wa Senegal aliingia madarakani kwa kupigwa kura na vijana wengi na kuleta matumaini na demokrasia. Lakini akaja kubadilika.
Ni yeye alikuwa kimbelembele kumshurutisha na kumlazimisha jirani yake wa Gambia strong man Yahya Jammeh kuachia ngazi asikandamize demokrasia.
Chini ya wiki moja tu Senegal imebadilika na kuwa uwanja wa fujo.
Kuna uzi flani mwamba aliletaga humu kuhusu Senegal ulikuwa mzuri sana.
Tuwaombee ndugu zetu wa Senegal warudi kwenye utulivu na amani waliyoizoea.
Kuna rafiki yangu msenegali ameenda kwao kumshughikia mke na mtoto wake Visa.
Tumewasiliana kwenye Whatsapp anavyonisimulia kwa kweli hali inatisha tofauti tunavyosoma kwenye vyombo vya habari.
Mjini Dakar mji mkuu wa Senegal hapaendeki. Mamia ya watu wameuwawa na vyombo vya ulinzi na usalama. Lakini serikali inaficha Idadi.
Watu wameondoa hela zao benki hadi kuna uhaba.
Ofisi za umma mahospitali na balozi zote zimefungwa kupelekea huduma za jamii na za kibalozi kusimama na kudodora.
Senegal ilikuwa nchi, tulivu,
Stable na demokrasia.
Ni uroho wa madaraka wa viongozi wengi wa Kiafrika.
Mack Sally rais wa Senegal aliingia madarakani kwa kupigwa kura na vijana wengi na kuleta matumaini na demokrasia. Lakini akaja kubadilika.
Ni yeye alikuwa kimbelembele kumshurutisha na kumlazimisha jirani yake wa Gambia strong man Yahya Jammeh kuachia ngazi asikandamize demokrasia.
Chini ya wiki moja tu Senegal imebadilika na kuwa uwanja wa fujo.
Kuna uzi flani mwamba aliletaga humu kuhusu Senegal ulikuwa mzuri sana.
Tuwaombee ndugu zetu wa Senegal warudi kwenye utulivu na amani waliyoizoea.