simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Baada ya Gambia naona dunia kuelekeza shinikizo Zanzibar.hao ecowas wana ruka ruka huku zanzibar hawakuona,wameona gambia tu
Baada ya Gambia naona dunia kuelekeza shinikizo Zanzibar.hao ecowas wana ruka ruka huku zanzibar hawakuona,wameona gambia tu
yupoJammeh kashasepa tayari nchini mwake
Mkuu mbona taarifa zinazozagaa ni kwamba kashasepa??yupo
mbia amepigana na nani na anajeuri gani.Umeshawahi jiuliza kwa nn Rwanda wanamuogopa kiasi hiko.Unaijua vita na umewahi fika uwanja wa medani hata kwa ndoto tu ?Rwanda ameshapigana vita gani na ni jeuri gani aliyonayo?
ECOWAS na Zanzibar?hao ecowas wana ruka ruka huku zanzibar hawakuona,wameona gambia tu
Mkuu vikwazo vitakuwa na matokeo lengwa ikiwa tu wataweza kuzuia mlango bahari (bandari) uliopo banjui usitumike.. Hii inamaanisha vikosi vya majini-Navy wafanye blockade kama Israel wanavyowafanyia Wapalestina wa Gaza.. Hakuna kitu kuingia wala kutoka.. Vinginevyo jamaa ataendelea kufanya biashara hasa kuagiza vitu toka nchi za mbali haswa ulaya na kusini magharibi ya Afrika
ni rahisi kupigana na jeshi la nchi kuliko waasi ambao hata kambi ao hazijulikani na hata sare zao hazijulikani upo.Ujinga wa nchi za Afrika zinakuwa mstari wa mbele kwenye mambo ya kijinga..
Nigeria wameshindwa kuwaondoa waasi wa waliteka watoto wa shule wataweza kumtoa rais???
Wameshindwa kukomesha mauaji. Afrika ya kati wataweza kumtoa rais???
AU bado wanasafari ndefu
Rwanda anaweza kuwa na jeuri labda kwa Burundi lkn vinginevyo hamna kitu pale kbsaGa
mbia amepigana na nani na anajeuri gani.Umeshawahi jiuliza kwa nn Rwanda wanamuogopa kiasi hiko.Unaijua vita na umewahi fika uwanja wa medani hata kwa ndoto tu ?
ECOWAS unaijua vizuri!? Ije Zanzibar kwa mandate ipi!? Hiyo ni taasisi kwa nchi za Africa magharibi. Nyie wenu ni kibogoyo EAChao ecowas wana ruka ruka huku zanzibar hawakuona,wameona gambia tu
Dah... Gambia yenyewe ina wanajeshi wasiozidi 1200...magari ya deraya 4.....ndege za kizamani 3.....vifaru 2.... Wapakistan walikuwa wamejaa kuwafundisha wote wamesepa....Hivi mnadhani yule Jenerali wa Gambia aliyesema anawapenda wapiganaji wake na hataki kuwa husisha na upuuzi ni mjinga?Kuzungukwa siyo kigezo cha kupigwa bali ni faida inayomrahisishia kuwapiga kirahisi wanaomzunguka. Mmoja anawapiga 10 kirahisi kwa vile yeye anachagua ampige wa kulia halafu wa kushoto, mbele ama nyuma wao wanabaki kupigana wao kwa wao.
watamtii wasipomtii nao watapigwaAkishaondolewa
Je jeshi litamtii huyo Barrow au ndio watampindua??
Jiulize ,tafakari..
mkuu teminoloji mpya hii nimejifunza asante sana..Mkuu unachokiongelea kinaitwa PACIFIC BLOCKADE,
Ni moja ya kikwazo kinachofanya kazi vizuri sana.
hatari sana asee!ECOWAS na Zanzibar?
Tukiongelea medani za kijeshi kwenye uwanja wa kivita position yako na ya adui ni determinant factors kubwa sana. Na ukiangalia nchi hizi mbili zilivyo tu Gambia hawezi kufua dafu kwa Senegal. Kwanza ina wanajeshi wachache due to her population, kutokana na ukubwa wake yaonekana tu haina vifaa vya kutosha kuweza kujilinda ma mashambulizi yatokayo kila upande wa Senegal kumzunguka.Sidhani kama unajua jeshi vizuri!kuzungukwa pande zote sio hoja ya ushindi kwenye medani za kijeshi!bali mbinu na uimara wa jeshi husika..mfano mzuri ni rwanda!imezungukwa kila kona na ni ka nchi kadogo lakini kana jeuri kupita maelezo..Hebu tafakari tena!
ID nzuri lakini hata vitu vidogo tu, hujui...hao ecowas wana ruka ruka huku zanzibar hawakuona,wameona gambia tu
ECOWAS na Zanzibar?
ID nzuri lakini hata vitu vidogo tu, hujui...