Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kuna namna tatu mkuu
1) They can measure the total light from a galaxy in watts, then divide by the average wattage of a single star.
2) They can count up the total number of stars in a very small region of a galaxy to get the number of stars per cubic light year, then multiply by the total volume of the galaxy.
3) They can ‘weigh’ a galaxy by calculating its total mass, then divide this number by the average mass of a single star.
sielewi kitu
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Hahahha naona unaleta mawazo ya kale kabla ya Galileo Galilei, soma kilichomkuta, ndo utaelewa
 
Nimeziweka ili tuanzishe mjadala,lakini haziingii kichwani very sad.
haiwezi kuingia kichwani kirahisi rahisi tu,akili zetu zimejengwa kwa mantik ya kuwa ukiongelea science ndio usmati na ukiongea mambo kama haya ni ujinga,kwa hio kabla ya kuona uhalisi kwanza lazima uukubali ujinga(un-learn everything) ili kuushinda utashi wa akili kukuzuia kuona,kisha toka nje angalia madhari yote utauona uhalisi kwa macho yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom