Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Mkuu huenda atakua amekuelewa

Ni matumaini yangu mkuu , ukweli ni kwamba mambo kama air pressure , gravitational force , relativity inachukua miaka kuyaelewa na kupata picha kamili na kwa bahati mbaya wengi tumefundishwa na walimu ambao hawakutoa mifano hai ya kila siku zaidi ya kuandika formula ubaoni . Ila laws na principle nyingi tunaziishi na kuzi obey kila siku bila kujua.

Sitamsahau mwl wangu wa physics form one siku ya somo la pressure /force kama sijakosea , jamaa aliingia na vipini akatukabidhi akatwambia tujichome mkononi tutumie force kidogo then tutumie force kubwa, alafu akatuacha tusijue anafanya nini yeye akaendelea kufundisha, mwisho wa kipindi wengi tukaelewa relation ya force , pressure na area.

Form two kulikuwa na issue za effort, load na fulcrum, jamaa alitutoa nje mpaka kwenye gari akiwa na spana ndefu na fupi , tulijionea wenyewe nut ilivyofunguliwa kirahisi kwa spana ndefu.
Mpaka namaliza form four sikuwahi kusahau haya mambo.
 
Tumetumia dawa za uzazi za wanaume tunaletewa na wakongomani wanatoa china ndio zinatufanya hivi

Niliumia hivi kweli serikali inafaham?
Vijana ndio wanalengwa,ndio kundi muhimu katika survival of the race.sijui TFD kama inalijua hili.
 
unnamed.jpg

African sky.
 
Hamna upande wa dunia ulio juu wala chini , hizi ni assumption zetu tu lakini kisayansi hamna hicho kitu , vitabu vyote huwezi kukuta eti upande huu ni juu , hiyo tumetengenza sisi tu kwa kuangalia angani ila amini hamna juu wala chini
Ndugu island, sasa kama hakuna upande ulio chini au upande ulio juu inakuwaje basi dunia iwe "duara"? Kwa mfano ukishika mpira wa miguu kuna upande unakua juu na upande unaokuwa chini; kwa dunia ambayo ni duara kama yai hivi (oval) nayo pia lazima iwe na upande ambao uko juu na upande ambao uko chini. Sasa kama kweli dunia ni duara kama wanavyosema hao "wanasayansi:, inakuwaje basi popote pale walipo watu duniani wote wakiangalia juu wanaona anga??

Hebu tazama huu mchoro hapo chini kisha uniambie nini kinasababisha dunia ambayo ni duara iwe na sehemu zote ziko sawa kama vile ni tambarare? Ukiniambia eti ni "gravitational force" siwezi kukubaliana na wewe. Ukiniambia "It's a miracle" nitakubaliana na wewe.


earth_LI (2).jpg

Mtu ambaye yuko sehemu "B" akiangalia juu anaona anga

Mtu ambaye yuko sehemu "D" akiangalia juu pia anaona anga

Kama sehemu "A" pia kuna mtu yeye pia akiangalia juu anaona anga hilo hilo.

Kama dunia ingekuwa kweli ni duara, basi watu wanaoishi sehemu "D", "F" na "E" wao ndiyo wangekuwa sehemu ya juu na wengine ambao wapo sehemu "C", "A" na "B" wangejiona wapo upande wa chini.

Je ni kweli kwamba "force of gravity" ndiyo inafanya tuone dunia ni kama tambarare wakati ni duara? Unataka kusema "force of gravity" inatupumbaza akili tusione tofauti ya kuwepo kwa duara?

Kama kweli dunia ni "duara" kama hapo juu, ni wapi ilipo "curvature" ya hilo duara? Kila mahali unapokwenda duniani hukuna na hiyo "curvature" ya duara.

Kuna watu wanaamini kuwa dunia ni kama "sahani" hivi au "disc" na haizunguki jua wala haijizungushi kwenye mhimili wake, isipokuwa jua na mwezi ndiyo vinaizunguka dunia kiupande upande ndiyo maana tunapata usiku na mchana. Tazama hiyo picha hapo chini. Watu hawa wanasema wanasayansi wanadanganya kuwa dunia ni duara kama "yai" au "mpira".


600px-SunAnimation.gif
 
Ndugu island, sasa kama hakuna upande ulio chini au upande ulio juu inakuwaje basi dunia iwe "duara"? Kwa mfano ukishika mpira wa miguu kuna upande unakua juu na upande unaokuwa chini; kwa dunia ambayo ni duara kama yai hivi (oval) nayo pia lazima iwe na upande ambao uko juu na upande ambao uko chini. Sasa kama kweli dunia ni duara kama wanavyosema hao "wanasayansi:, inakuwaje basi popote pale walipo watu duniani wote wakiangalia juu wanaona anga??

Hebu tazama huu mchoro hapo chini kisha uniambie nini kinasababisha dunia ambayo ni duara iwe na sehemu zote ziko sawa kama vile ni tambarare? Ukiniambia eti ni "gravitational force" siwezi kukubaliana na wewe. Ukiniambia "It's a miracle" nitakubaliana na wewe.


View attachment 635817
Mtu ambaye yuko sehemu "B" akiangalia juu anaona anga

Mtu ambaye yuko sehemu "D" akiangalia juu pia anaona anga

Kama sehemu "A" pia kuna mtu yeye pia akiangalia juu anaona anga hilo hilo.

Kama dunia ingekuwa kweli ni duara, basi watu wanaoishi sehemu "D", "F" na "E" wao ndiyo wangekuwa sehemu ya juu na wengine ambao wapo sehemu "C", "A" na "B" wangejiona wapo upande wa chini.

Je ni kweli kwamba "force of gravity" ndiyo inafanya tuone dunia ni kama tambarare wakati ni duara? Unataka kusema "force of gravity" inatupumbaza akili tusione tofauti ya kuwepo kwa duara?

Kama kweli dunia ni "duara" kama hapo juu, ni wapi ilipo "curvature" ya hilo duara? Kila mahali unapokwenda duniani hukuna na hiyo "curvature" ya duara.

Kuna watu wanaamini kuwa dunia ni kama "sahani" hivi au "disc" na haizunguki jua wala haijizungushi kwenye mhimili wake, isipokuwa jua na mwezi ndiyo vinaizunguka dunia kiupande upande ndiyo maana tunapata usiku na mchana. Tazama hiyo picha hapo chini. Watu hawa wanasema wanasayansi wanadanganya kuwa dunia ni duara kama "yai" au "mpira".


View attachment 635876

Hii nimeijibu post moja hapo juu na hao jamaa wanaosema hivo ni waongo kiwango cha lami

Mkuu mambo ya juu na chini ni relativity yan ni kulinganisha, bila hivo hamna juu wala chini . Ukiwa na mpira sehem moja inakuwa juu kwa kuwa mpira unaulinganisha na dunia yan unautazama pamoja na dunia kwa wakati mmoja. Ishakuwa usiku mkuu kesho tutaongelea hii issue vizuri lakini nikuulize swali , ndege inakimbia mpaka km 500 kwa saa , ni speed kubwa sana lakini vitu ndani ya ndege havipeperuki , chai hazimwagiki, ukiweka kalamu mezani inabaki hapo hapo kama umetulia nyumbani, watu wanaoga maji yana flow vile vile kama uko home , je unaweza kunambia ni kwa nini ?

Force of gravity ina majibu yote hayo
 
Ni matumaini yangu mkuu , ukweli ni kwamba mambo kama air pressure , gravitational force , relativity inachukua miaka kuyaelewa na kupata picha kamili na kwa bahati mbaya wengi tumefundishwa na walimu ambao hawakutoa mifano hai ya kila siku zaidi ya kuandika formula ubaoni . Ila laws na principle nyingi tunaziishi na kuzi obey kila siku bila kujua.

Sitamsahau mwl wangu wa physics form one siku ya somo la pressure /force kama sijakosea , jamaa aliingia na vipini akatukabidhi akatwambia tujichome mkononi tutumie force kidogo then tutumie force kubwa, alafu akatuacha tusijue anafanya nini yeye akaendelea kufundisha, mwisho wa kipindi wengi tukaelewa relation ya force , pressure na area.

Form two kulikuwa na issue za effort, load na fulcrum, jamaa alitutoa nje mpaka kwenye gari akiwa na spana ndefu na fupi , tulijionea wenyewe nut ilivyofunguliwa kirahisi kwa spana ndefu.
Mpaka namaliza form four sikuwahi kusahau haya mambo.
Fizikia inahitaji mtu mwenye uelewa usio tia shaka
 
Kumbuka chakula na vinywaji vinaweza kutumika, na vimeshawahi kutumika katika vita hii.chunguza kabla ya kula au kunywa.
 
Back
Top Bottom