Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kuna uwezekano wa kuwapo viumbe hai ktk titan?
Uwezekano upo wa micro-organism, lakini ambao huenda wakawa tofauti na hawa wa hapa duniani,kwa sababu ya ukosefu wa maji. vijidudu hawa huenda watakuwa wanatumia methane kama nishati.
 
Uwezekano upo wa micro-organism, lakini ambao huenda wakawa tofauti na hawa wa hapa duniani,kwa sababu ya ukosefu wa maji. vijidudu hawa huenda watakuwa wanatumia methane kama nishati.
Mkuu nielekeze jinsi ya kutengeneza darubin (telescope)
 
Ni kubwa mno Mara matrilioni kuliko dunia,halafu mkuu nyota ni just gases tyu hazina solid surface
mkuu km nyota ni gases, sasa jua litaweza vp kuzimeza sayari km dunia na mercury ambazo ni solid surface?
 
mkuu km nyota ni gases, sasa jua litaweza vp kuzimeza sayari km dunia na mercury ambazo ni solid surface?
Itaexpand zaidi halafu hizo gases zinafanya reactions na kutengeneza umbo Fulani lenye rangi nyekunde na gravity kubwa,kinachomeza dunia ni gravity kubwa
 
kama kusadikika hiyo jf unge comment wapi.hapo ndipo waafrika tunapo shindwa teknolojia
Kweli bwana mkubwa umemjibu poa sana.Habari za kama hao ndio zinatufanya tushindwe hata kutengeneza karatasi za kuchambia.Hata gagulo zinatoka china kwa sababu tu ufinyu wa mawazo.Mleta mada ameeleza kwa upeo wake na elimu aliyopata.
Ukitaka kujua Science ya kusadikika zaidi,ajiulize tu kwenye Teknolojia watu walikuwa wanawaza nini?Gunduzi za komputa,magari,automated trains,aircrafts.Wangekuwa wavivu wa arguments basi wasingekuwa hapo tulipo sasa.
Mleta mada katuonesha japo wengi wanajifanya sijui picha za computer sijui kusadika.Baasi tunaomba mtupe na nyie picha zenu za ukweli na Arguments ambazo zita clarfy kuwa mnachosema ni dhahiri ili tuzidi kujifunza.
Watu huko wanahangaisha vyichwa vyao kujua kila jambo hata tunapinga,weupe watazidi kupiga hatua.Na sisi tuzidi ku copy na ku paste japo hatuwezi.Tubishe kwa hoja na ushahidi kama mleta mada.
 
images (2).jpg
images.jpg

Hawa ni baadhi tu ya wanaanga weusi hawa wanatuwakilisha.
 
Kweli mkuu tunachoweza tufanye
Usiku wa giza na usio na mawingu,na haswa ijumaa mpaka jumapili umekaa peke yako na telescope yako unaanza kuscan mbingu, trust me mungu hana choyo atakubariki na images ambazo ni kama anakuambia..jee?unaona nilivyowatengenezea nilivyoumba mbingu. na jee? Udogo na upweke wenu munauona? imani yako itaongezeka trust me.
 
Kweli bwana mkubwa umemjibu poa sana.Habari za kama hao ndio zinatufanya tushindwe hata kutengeneza karatasi za kuchambia.Hata gagulo zinatoka china kwa sababu tu ufinyu wa mawazo.Mleta mada ameeleza kwa upeo wake na elimu aliyopata.
Ukitaka kujua Science ya kusadikika zaidi,ajiulize tu kwenye Teknolojia watu walikuwa wanawaza nini?Gunduzi za komputa,magari,automated trains,aircrafts.Wangekuwa wavivu wa arguments basi wasingekuwa hapo tulipo sasa.
Mleta mada katuonesha japo wengi wanajifanya sijui picha za computer sijui kusadika.Baasi tunaomba mtupe na nyie picha zenu za ukweli na Arguments ambazo zita clarfy kuwa mnachosema ni dhahiri ili tuzidi kujifunza.
Watu huko wanahangaisha vyichwa vyao kujua kila jambo hata tunapinga,weupe watazidi kupiga hatua.Na sisi tuzidi ku copy na ku paste japo hatuwezi.Tubishe kwa hoja na ushahidi kama mleta mada.
Safi sana. Umesema ukweli. Ni kitambo sijakuwepo,salama wote.
 
Asante sana,pamoja na kujitolea kuleta elimu ya ufaham naona kuna baadhi yetu haiwaingii, ipo siku watajua kinachoendelea japo watakuwa wapo nyuma ya wakati.
 
Mwaka 1998 jambo la ajabu liliwahi kutokea, NASA walipokea message kutoka katika galaxy ya Andromeda. kuna Androids au Andromedians walituma ujumbe wa kuomba msaada. NASA baada ya kuufumbua wakagundua kuna viumbe vyenye akili kama sisi vilikuwa vikijiangamiza vyenyewe kwa vyenyewe, lakini kuna walakini katika hii..inasemekana ujumbe huu ulitumwa wakati mwanadamu bado akiishi mapangoni au mwanadamu alikuwa hayupo kabisa.
 
Back
Top Bottom