Kwa online business Mkoa WA mbeya una watu Smart sana sio WA shamba kama mwanza

Kijana LOGICS

Senior Member
Dec 16, 2023
140
525
Hua nafanya online business hasa ya electronics kama simu, computer,na laptops

before nilikua nafanyia mwanza nikahamia mbeya tangu January

Biashara mwanza ilikua ngumuh Sana wateja pasua kichwa

mwanza Ina watu wengi na Kundi kubwa la watu wanakaushamba Flani Ivi

laiti mwanza ingetambua potential ya high population kwenye business .

Tatizo liloko mwanza ni asilimia kubwa ya watu kuhisi wanaibiwa Yani waoga sana wanaishi kizamani

Nikahamia mbeya aloo mbeya wako smart sana hadi wadada

Mbeya hakuna Mteja pasua kichwa
Mbeya hawana kaushamba.
 
Hivi tafsiri ya ushamba hasa ni nini boss?!
Yaani hata mtu kuacha kukuamini ni ushamba au unaimanisha kivingine?!

Online business kwa bongo bado sana ni bora tu uitwe mshamba kuliko kuibiwa kwa kumwanini mtazania

Online business tuwachie wazungu tu sisi ngozi nyeusi tuna laana sana
Kuna somebody humu alikuwa anajiita Mr. Mobile badae akawa anajiita @mr mobile(Samahani ka quote itakuwa imeenda kwenye id tofauti) jamaa mwanzoni lilivuta wateja siku za mwisho likawa lijizi.

Kumwamini ngozi nyeusi kwa online business ni kama kutoa sadaka bure kwa watu wanaojiweza!
 
Hivi tafsiri ya ushamba hasa ni nini boss?!
Yaani hata mtu kuacha kukuamini ni ushamba au unaimanisha kivingine?!

Online business kwa bongo bado sana ni bora tu uitwe mshamba kuliko kuibiwa kwa kumwanini mtazania

Online business tuwachie wazungu tu sisi ngozi nyeusi tuna laana sana
Kuna somebody humu alikuwa anajiita Mr. Mobile badae akawa anajiita @mr mobile(Samahani ka quote itakuwa imeenda kwenye id tofauti) jamaa mwanzoni lilivuta wateja siku za mwisho likawa lijizi.

Kumwamini ngozi nyeusi kwa online business ni kama kutoa sadaka bure kwa watu wanaojiweza!
Dunia inaande mbele huwez kurud nyuma Acha ushamba
 
Online Business Bongo bado sana !!!; Kwanini ? Ngoja nikueleze
  • Scam / Wizi watu kutokuaminika na unachonunua huenda sicho
  • Kama ni used products badala ya second hand unaweza kujikuta unapa kitu ambacho kwakweli kimepitia mikono mingi (unachonunua na ulichokiona ni mbali mbali)
  • Culture ya wanunuzi bado sana watu wamezoea bargains na mizigo ya uchochoro kwahio anajua anaweza akapata bargains.
  • Na mbaya zaidi ni Kodi; Kama ni Online na Malipo ni Online mwisho wa siku ni rahisi kwa mkono wa Serikali kujua mauzo (sasa ukishalipia na hayo matozo) unadhani mzigo utakuwa bado cheaper na alternative ? (Ambazo hautalipia hayo yaliyotangulia)
 
Nimeishi mwanza na ninakubaliana na mleta mada. Watu wa mwanza ni wazito sana kupokea vitu vipya na idea mpya za biashara
Kuna dada alikuwa anapika makande anafanya delivery kwa kupitia simu lakini huwezi amini biashara ilikufa ndani ya muda mchache tu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mwanza wanabadilika tatatibu sana ndio kaushamba kenyewe,bolt walipelwka huduma yao imebuma,yaani mtu kurequest huduma ya taximtandaoni au bodaboda ni kitu ilishindikana mwanza,taxi driver anahisi anaibiwa,abiria anahisi anaibiwa

Wasukuma ni shida...

Hata SGR wale ikiwafikia sijui itakuaje namna itavyochakazwa...
 
Nimeishi mwanza na ninakubaliana na mleta mada. Watu wa mwanza ni wazito sana kupokea vitu vipya na idea mpya za biashara
Kuna dada alikuwa anapika makande anafanya delivery kwa kupitia simu lakini huwezi amini biashara ilikufa ndani ya muda mchache tu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sasa mbona Mbeya na Mwanza kimaendeleo ni tofauti hata kwa macho!
Online Business kwangu mimi naweza kusema inahitaji jamii ijifunze taratibu na pia kuna watu wengi sio waaminifu kwenye online business ndo maana wateja wanakuwa wazito!
Mtu anaweza kutoka Dar akafanye biashara Mwanza akiamini watu wa kule hawana exposure na kuingiza magumashi na kusababisha wenzake watakao fuata kukosa wateja!
 
Back
Top Bottom