Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,139
- 39,381
Nimemsikiliza Lissu tangu juzi akiwa kariakoo na pale Kibamba leo kwa hakika ujumbe anaotema ni mzito sana sidhani kama Samia ana kifua cha kuuhimili.
Kama Magufuli aliyejiita chuma, Jiwe, Kamongo hakuweza furukuta mbele ya makombora ya Lissu nimewaza sana kuhusu Samia.
Japo taarifa za ndani zinadai mama ameshalegea lakini bado inanipa wasiwasi mkubwa kama Samia bado ana hamu na mchakato wa katiba mpya!
Lissu anarusha makombora nyie sidhani kama Samia anapata usingizi, nawaza tu anaweza kususa hata urais wenyewe siku za usoni.
Tunakoelekea ni kubaya sana na hakuna matumaini ya kuzaliwa katiba mpya kama CCM na mawakala wao wanauza nchi namna hii.
Pia soma: Tundu Lissu: Rais samia amefanya kitu cha kijinga kuliko marais wote wa Nchi hii
Kama Magufuli aliyejiita chuma, Jiwe, Kamongo hakuweza furukuta mbele ya makombora ya Lissu nimewaza sana kuhusu Samia.
Japo taarifa za ndani zinadai mama ameshalegea lakini bado inanipa wasiwasi mkubwa kama Samia bado ana hamu na mchakato wa katiba mpya!
Lissu anarusha makombora nyie sidhani kama Samia anapata usingizi, nawaza tu anaweza kususa hata urais wenyewe siku za usoni.
Tunakoelekea ni kubaya sana na hakuna matumaini ya kuzaliwa katiba mpya kama CCM na mawakala wao wanauza nchi namna hii.
Pia soma: Tundu Lissu: Rais samia amefanya kitu cha kijinga kuliko marais wote wa Nchi hii