Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

Wahindi,waarabu na wachina... na hata wazungu ni wajanja sana. Wakisikia raia wa kiafrika anafanya ziara kwenye nchi zao huwa wanapelelezi weakness zake na kuzitumia kumfurahisha. Bila shaka wahindi wameshajua viongozi wa Tanzania wanapenda kusifiwa na kupewa degree za heshima hivyo wamaamua kutumia nafasi...
Naisogeza hapa chini na wengine waione.

Nimesoma huko juu kwamba hii ina fananishwa kama rushwa fulani.
 
Acha chuki wewe..
Kuna chuki au ukweli mtupu! Kuhusu kufeli f4 alisema mwenyewe hata utarishi alisema mwenyewe. Tusimlaumu lakini! |Tuwalaumu marais wanaochagua wagombea wenza vilaza ili wasipitie changamoto!
 
Ukiifatilia historia ya PhD, ilianzia kwenye zote kuwa ni za heshima, PhD baadae sana ndiyo zikaja kutolewa kwa "kusoma".

Zote msingi wake ni heshima, hakuna zaidi.

Nafahamu huu uzi lengo lake ni jaribio la "character assassination" lakini mleta mada anasahau kuwa kuna hata academically failures" wametunukiwa Honoris Causa.

Ma shaa Allah Mama Samia hana historia ya kufeli. Nanihii je?
Ma shaa Allah Mama Samia hana historia ya kufeli. Huu urongo! Huyu tarishi aliyefeli form 4 alisema mwenyewe! Kazi yake kufuata na kupanga mafaili- Tarishi cum muhudumu kuwa rais ama kweli "mashaa Alah" dodo kwenye mbigili sasa honoris causa kwa kuuza bandari na mbuga za nchi yake !!!!
 
Nyerere aliwahi kuwa na PhD ya darasani?

Ilimchukuwa Nyerere miaka mingapi ya Urais kabla ya chuo kikuu chochote duniani kumpa "Honoris causa"?

Imemchukuwa mama Samia Suluhu Hassan chini ya miaka mitatu ya Urais kupata "honoris causa" ya Kimataifa.

"naona donge mie".
Honoris causa jamani angalau uwe na kadegree kamoja jamani kha!
 
Nyerere aliwahi kuwa na PhD ya darasani?

Ilimchukuwa Nyerere miaka mingapi ya Urais kabla ya chuo kikuu chochote duniani kumpa "Honoris causa"?

Imemchukuwa mama Samia Suluhu Hassan chini ya miaka mitatu ya Urais kupata "honoris causa" ya Kimataifa.

"naona donge mie".
Nyerere kaingiaje. Usimfananishe Mwl na vitu vya kijinga
 
Sina haja na kupewa heshima ya uongo.

Samia kupitia darasani hawezi kupata PhD!

Hivi keshawahi hata kuandika makala yoyote ile [hata kwa kutumia ghost writer] iliyowahi kuchapishwa hata kwenye gazeti la Nipashe?
Wewe mwenye akili una Phd ngapi za kusomea?
 
KUWA RAISI NI PhD TOSHA!
Marejeo, maandiko, tafiti zitafanywa kuhusu namna ulivyouendesha uraisi wako.
Unadhani ni rahisi kuwa RAISI hapa duniani ?
Kama ilivyo kazi kuipata PhD ndivyo ilivyo kazi kuwa raisi na kudumu kwenye huo uraisi.
Navyoamini raisi ni knowledge producer misingi yake ya uongozi inaweza unda falsafa mpya ya kuishi, kuamini nk.
Don't underate her.
Nilipokuwa Chuo nilisoma PhD thesis kazaa.
Sikuona maajabu ya mtu wa digrii kuweza kufanya PhD.
Wewe bado unafikra za kizamani kuona elimu ni special kwa watu fulani. Dunia imebadirika.
Naamini michrpuo hio ya art kufika PhD sio kazi ngumu lsbda ingekuwa natural science na engineering mfano PhD za chemistry, engineering, computer science sio za kila mtu.
 
Sina haja na kupewa heshima ya uongo.

Samia kupitia darasani hawezi kupata PhD!

Hivi keshawahi hata kuandika makala yoyote ile [hata kwa kutumia ghost writer] iliyowahi kuchapishwa hata kwenye gazeti la Nipashe?
 

Attachments

  • 5582766-e9af0949da03de6cad5acbd3aa907c38.mp4
    436.1 KB
Back
Top Bottom