Kwa nini watu wanaogopa kuita tanganyika,wanaita tanzania bara?

Tuonyeshe kwenye Katiba hiyo nchi ya Tanganyika! Kumbuka hata Zanzibar ilijulikana kama Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, lakini siku hizi inaitwa SMZ! Tuachane na mindset za kikoloni wandugu, ukimaliza ubaguzi huo utabagua hata mama yako!

Haijalishi mama yako kapewa jina na nani kinacho jalisha mama yako identity yake ipo na jina halibadiliki inabadilika maana ya jina wewe jina lako nani na aliye kupa jina nani na asili ya jina hilo wapi Kinacho onekana wazenj wanatubagua waTanganyika Kama tumeunganisha maduka yetu ina maana tuna duka moja la ushirika baada ya kuyavunja maduka asili lakini sivyo hivyo mzenj duka lake bado lipo na lakwangu ndilo anaita la muungano ni **** tu atakaeridhika na mbaya hiyo ya dhulma nakuasa mzenj kama umevua nguo uoge usichachawe! KAMA WEWE NI MTANGANYIKA JITAMBUE LA NI MZENJ BASI SASA KOLONI LENU LA TANGANYIKA LIMEWASHITUKIA Waswahili wanasema ukila na kipofu usimshike mkono!
 
hili swal linahitaji kufanyiwa utafiti,maana wanaoongea sio vichaa, naamini wanajua wanachokiongea...
 
Originally Tanganyika ilijumuisha Ruanda na Burundi, ungependa tuwaambie warundi na wanyarwanda kuwa washerehekee uhuru wa Tanganyika?

Mkuu, Buchanan


Mimi ningependelea sana tuzidishe kasi ya EAC kuungana, mwisho wake tupate lijinchi likubwa, Tuwashauri tuendelee kulitumia jina la Tanzania kama jina la nchi hiyo na utaifa uwe utanzania.


Kwa tunavyojivunia amani na utulivu, na uzuri wa jina letu na utaifa wetu, watakubali tu. Tutakuwa na jinchi likubwa tu kuliko Congo(Zaire).


Au wewe unaona ni idea mbaya?
 
Tuambie huo Utanganyika utatusaidiaje kuondokana na umaskini, ufisadi na wizi wa mali za umma, ukiniambia nitakuunga mkono!

Mkuu,

Kwani huu Utanzania umetusaidiaje kuondokana na umaskini, ufisadi na wizi za mali ya umma? Ukiniambia nitakuunga mkono tuendelee na utanzania wetu.
 
Hivi kwanini huwa tunasherehejea siku hii?? Kama Tanganyika tulishaiua, tungebaki tu kusherehekea ''uhuru'' wa Tanzania (ile siku muungano ulipoundwa)
 
Maadam muungano haukua na ridhaa si ya watnganyika wala wazanzibari, na kwa kuwa tunafuata "democrasia" ni vyema wakati wa kuunda katiba mpya kuitishwe referundum yenye vipengele vifuatavyo kuhusu muungano wa mchonga na karume: kuvunja muungano; serikali mbili; serikali tatu; nchi moja; Kisha watu tuchague...
 
Maadam muungano haukua na ridhaa si ya watnganyika wala wazanzibari, na kwa kuwa tunafuata "democrasia" ni vyema wakati wa kuunda katiba mpya kuitishwe referundum yenye vipengele vifuatavyo kuhusu muungano wa mchonga na karume: kuvunja muungano; serikali mbili; serikali tatu; nchi moja; Kisha watu tuchague...

Sahau, hakuna kuvunja muungano, Mchonga was clever enough to fool Karume! nowhere in the Katiba talks of union breakage, Mke anaachika, mbona mkewe hakumwacha? ha ha ha
 
Wanahabari wanafuata sheria, wewe unafuata propaganda!

Elewa mwanangu sheria imsaidie mzalendo kujitambua sheria isipo fanya hivyo haifai kumbuka kina Mkwawa Mirambo Kinjeketile Mangisina.... waliuwawa si kwa kuiba mbuzi bali walipinga sheria dhalimu na kuigigania TANGANYIKA Jitambueni Watanganyika!
 
mambo ya mkanyiko katika union hayana budy kupata ufumbuzi ila pia sababu sisi ni jamaa moja na tuliingia yamini ya kuwa kitu kimoja ni vyema kuweza kuyapa kipaumbele mambo ya msingi yanayouweka muungana ,ths union ime2pa heshma kimataifa japokuwa ndani shortfalls zipo what is important to kurekebisha palipo weak unajua kuwa Tanganyika ni kweli imemezwa ndani ya neno Tanzania,kitu ambacho si halali diplomasia hii haijakaa sawa nadhani kuna haja ya kulisawazisha hili swali langu ni kuwa tufanyeje?am tryng to be liberal,na kuacha ile dhambi ya wao na sisi,Mwl.Nyerere ikiwa dhmbi hatuta ipatia ufumbuzi basi itatutafuna.
 
na tunaimba wimbo wa Tanzania au wimbo wa Tanganyika hata kwenye majukwaa ya michezo wanaita timu ya kilimanjaro Stars wakati ya Zanzibar wanaita timu ya zanzibar au Zanzibar Heroes sasa kwanini sisi tusii timu ya Tanganyika aka Kilimanjaro stars....pakungangana nao hawa jamaa ni kwenye katiba ili na sisi wa Tanganyika tupate Haki yetu maana hawa wa zanzibar wakiwa nje wana sema wao wa Zanzibar hawasemi wao Watanzania inaniuzi kweli...
na wewe si useme unatoka tanganyika kwani kuna ubaya gani...Wa Zanzibari kila sehemu wanayoishi abroad wanajitambulisha kuwa wao ni waZanzibaris kwa Proud ya nchi yao......... Na wanasherehekea Zanzibar independence day na Revolution day yao vile vile tunaimba wimbo wetu wa taifa la Zanzibar na kupeperusha bendera yetu ya Zanzibar na Rais wetu hukagua vikosi vya SMZ !!!!!!
 
mambo ya mkanyiko katika union hayana budy kupata ufumbuzi ila pia sababu sisi ni jamaa moja na tuliingia yamini ya kuwa kitu kimoja ni vyema kuweza kuyapa kipaumbele mambo ya msingi yanayouweka muungana ,ths union ime2pa heshma kimataifa japokuwa ndani shortfalls zipo what is important to kurekebisha palipo weak unajua kuwa Tanganyika ni kweli imemezwa ndani ya neno Tanzania,kitu ambacho si halali diplomasia hii haijakaa sawa nadhani kuna haja ya kulisawazisha hili swali langu ni kuwa tufanyeje?am tryng to be liberal,na kuacha ile dhambi ya wao na sisi,Mwl.Nyerere ikiwa dhmbi hatuta ipatia ufumbuzi basi itatutafuna.
Mwanangu hakuna anaye kataa umoja maana ni Nguvu lakini huwezi kulazimisha umoja hata siku Moja walio lazimishwa umoja sasa wanatengana mf ussr na walio lazimishwa kutengana wanaungana mf ujerumanh chekoslovakia....Huwezi ukachukua udongo wa mataifa mawili ukauchanganya kwenye kibuyu ukasema nimesha waunganisha hii hata ukiwaeleza wajukuu watakupa maswali mengi tu Kuhusu kuondoa kero za muungano muda kwa sasa unasema wazenj wangekuwa na nia njema na muungano kwa sasa tungekuwa wamoja zaidi kwa kuwa na serkali moja! lakini wanachofanya ni usanii na kututega Watanganyika angalia kamati za kujadili kero za muungano uwakilishi si sawia zenj inawakilishwa na kwa sababu mzenj yupo kwenye muungano lazima awakilishe tena lakini mtanganyika ndio mtanzania atawakilishwa na mtanzania kwa hiyo mzenj ana nafasi pana kuitetea zenj kweli kero zitaisha kwa haki leo wazenj wapo mawaziri mpaka wajumbe wa nyumba kumi huku Tanganyika wakati haki hiyo Mtanganyika hana zenj WATANGANYIKA HAMUONI HII DHULMA
 
mambo ya mkanyiko katika union hayana budy kupata ufumbuzi ila pia sababu sisi ni jamaa moja na tuliingia yamini ya kuwa kitu kimoja ni vyema kuweza kuyapa kipaumbele mambo ya msingi yanayouweka muungana ,ths union ime2pa heshma kimataifa japokuwa ndani shortfalls zipo what is important to kurekebisha palipo weak unajua kuwa Tanganyika ni kweli imemezwa ndani ya neno Tanzania,kitu ambacho si halali diplomasia hii haijakaa sawa nadhani kuna haja ya kulisawazisha hili swali langu ni kuwa tufanyeje?am tryng to be liberal,na kuacha ile dhambi ya wao na sisi,Mwl.Nyerere ikiwa dhmbi hatuta ipatia ufumbuzi basi itatutafuna.

Hivi kweli mtanganyika na mzanzibari tu kitu kimoja, maneno ya wanasiasa na uhakika wa uraiyani ni tofauti. Wake up, muulize muulize muunguja wacha mpemba, eti mtanganyika na muunguja ni wamoja? lakini usimuulize anaishi bara, huyo anchunga maslahi!
 
Back
Top Bottom