Kwa nini watu wanaogopa kuita tanganyika,wanaita tanzania bara?

Tanganyika ilishakufa zamani tunatanzania tuu wakuuu!
Na ndo maana wazanzibari hawajitambulishi kama watanzania kwa sababu hawaoni fahali ya kuwa na tanzania tumehold sisi wabara!
 
huwa nasikia mchungaji mtikila huwa anapeperusha bendera ya Tanganyika nyumbani kwake ninaomba wachina watutengenezee bendera za tanganyika za kutosha hapo ndio utakuwa mwaanzo wasie tuliozaliwa baada ya muungano kuiona bendera yetu vizuri
 
Tanganyika haijafa, kwani sisi wadanganyika tumefumbuka macho tutaidai no matter for how long.
 
huwa nasikia mchungaji mtikila huwa anapeperusha bendera ya Tanganyika nyumbani kwake ninaomba wachina watutengenezee bendera za tanganyika za kutosha hapo ndio utakuwa mwaanzo wasie tuliozaliwa baada ya muungano kuiona bendera yetu vizuri
Yaani umenichekesha sana mkuu
 
raisi wa tanzania huwa ni mgeni mwalikwa tu!
kwa vyovyote vile katiba ndiyo suruhisho ya haya yote maana sijui nina kichwa ngumu sielewi rais wa Tanzania ndiyo rais wa Tanganyika...wao wana bendera, wimbo wa taifa,wana rais wao wana serikali yao sisi hatuna matatizo yetu yanatatuliwa kimuungano...chetu - chao, chao - chao nooooooooo
 
Mazingira tuliyokuzwa kati ya miaka ya '60 mpaka '90 ilionekana dhambi kutaja Tanganyika. Wengi wetu tukahusisha Tanganyika na ushamba! Mahali kulikosahaulika tukakuita Tanganyika. Kumbe hiyo ilikuwa sumu maalumu ya kuhakikisha kwamba mwisho wa siku tutakuwa radhi kujikana wenyewe.

Ni wazi kwamba kama baada ya muungano tungeendelea kujivunia Tanganyika, huu muungano ungekuwa kwenye vitabu vya historia tu sasa hivi.
 
Yaani tumedhulumiwa nchi hadi jina lake tunaogopa kulitaja very sad, but Tanganyika is like a sleeping giant one day will wake up.
 
mazingira tuliyokuzwa kati ya miaka ya '60 mpaka '90 ilionekana dhambi kutaja tanganyika. Wengi wetu tukahusisha tanganyika na ushamba! Mahali kulikosahaulika tukakuita tanganyika. Kumbe hiyo ilikuwa sumu maalumu ya kuhakikisha kwamba mwisho wa siku tutakuwa radhi kujikana wenyewe.

ni wazi kwamba kama baada ya muungano tungeendelea kujivunia tanganyika, huu muungano ungekuwa kwenye vitabu vya historia tu sasa hivi.
ni bora muungano ufe-kuliko tanganyika kupotea,mana kupoteza tanganyika ni kupoteza identity yetu
 
NIPO NAFATILIA SHEREHE ZA UHURU WA TANGANYIKA,ILA NIMEANGLIA ITV,MTANGAZAJI HUKO NAONA ANASEMA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA BARA(japokuwa ni sawa,ila hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara)nimejaribu kuangalia TBC1 NAO NASIKIA MANENO NI YALE YALE,UHURU WA TANZANIA BARA,SOMETIME ANASEMA UHURU WA TANGANYIKA,NIMEJIULIZA NI KWA NINI WANASHINDWA KUSEMA UHURU WA TANGANYIKA MOJA KWA MOJA NA KUACHA NENO TANZANIA BARA JAPO KWA SIKU YA LEO TU,NIMESHNDWA KUELEWA

Tulicho fanyiwa ni Usanii wa kisaikoloji yaaani mpaka viongozi ambao ni WATANGANYIKA WANAONA KINYAA KUTAJA JINA TANGANYIKA kumbuka tulikubaliana TUUWE mama zetu mwenzetu mama yake hakumuua bali kamficha nilipo gundua kuwa mama yake yupo hai nikamwambia basi nami namfufua mama yangu au nimuue mamako jibu nililo pata la ajabu kwamba aliye kufa kafa na marufuku kutaja jina lake tena asifufuliwe na marufuku kuua mama yangu nami nikaridhika nikasema ndio mzeee! ni aibu kwa WATANGANYIKA kuondoa ujinga huu ni kumfufua mama yetu TANGANYIKA KUUA ZANZIBA WOTE TUWE WAKIWA LA HALIWEZEKANI KIVYAO MIMI NAMFUFUA MAMA YANGU TANGANYIKA Habari ndio hiyo!....
 
tulicho fanyiwa ni usanii wa kisaikoloji yaaani mpaka viongozi ambao ni watanganyika wanaona kinyaa kutaja jina tanganyika kumbuka tulikubaliana tuuwe mama zetu mwenzetu mama yake hakumuua bali kamficha nilipo gundua kuwa mama yake yupo hai nikamwambia basi nami namfufua mama yangu au nimuue mamako jibu nililo pata la ajabu kwamba aliye kufa kafa na marufuku kutaja jina lake tena asifufuliwe na marufuku kuua mama yangu nami nikaridhika nikasema ndio mzeee! Ni aibu kwa watanganyika kuondoa ujinga huu ni kumfufua mama yetu tanganyika kuua zanziba wote tuwe wakiwa la haliwezekani kivyao mimi namfufua mama yangu tanganyika habari ndio hiyo!....
kweli bora iwe hivyo
 
NIPO NAFATILIA SHEREHE ZA UHURU WA TANGANYIKA,ILA NIMEANGLIA ITV,MTANGAZAJI HUKO NAONA ANASEMA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA BARA(japokuwa ni sawa,ila hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara)nimejaribu kuangalia TBC1 NAO NASIKIA MANENO NI YALE YALE,UHURU WA TANZANIA BARA,SOMETIME ANASEMA UHURU WA TANGANYIKA,NIMEJIULIZA NI KWA NINI WANASHINDWA KUSEMA UHURU WA TANGANYIKA MOJA KWA MOJA NA KUACHA NENO TANZANIA BARA JAPO KWA SIKU YA LEO TU,NIMESHNDWA KUELEWA

Wanaogopa kivuli chao wenyewe. hata hivyo, Tanganyika tutairudisha. Its the matter of time!
 
Kama Tanganyika iliwakosea si waisamehe, na kuirudishia hadhi yake?
 
Hao watangazaji wa ITV na TBC1 ndio wamerogwa.....mimi natambua kuwa leo ni siku ya kusheherekea uhuru wa Tanganyika, hakuna mtu atakae nibadilisha msimamo wangu.
 
Tanganyika haijafa, kwani sisi wadanganyika tumefumbuka macho tutaidai no matter for how long.

Tuambie huo Utanganyika utatusaidiaje kuondokana na umaskini, ufisadi na wizi wa mali za umma, ukiniambia nitakuunga mkono!
 
hao watangazaji wa itv na tbc1 ndio wamerogwa.....mimi natambua kuwa leo ni siku ya kusheherekea uhuru wa tanganyika, hakuna mtu atakae nibadilisha msimamo wangu.
hawa wanahabari pia wanazidi kuwalisha wananchi ujinga kwa kuzidi kupoteza neno tanganyika kwenye maskio yao
 
Hao watangazaji wa ITV na TBC1 ndio wamerogwa.....mimi natambua kuwa leo ni siku ya kusheherekea uhuru wa Tanganyika, hakuna mtu atakae nibadilisha msimamo wangu.

Tuonyeshe kwenye Katiba hiyo nchi ya Tanganyika! Kumbuka hata Zanzibar ilijulikana kama Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, lakini siku hizi inaitwa SMZ! Tuachane na mindset za kikoloni wandugu, ukimaliza ubaguzi huo utabagua hata mama yako!
 
Kama Tanganyika iliwakosea si waisamehe, na kuirudishia hadhi yake?

Originally Tanganyika ilijumuisha Ruanda na Burundi, ungependa tuwaambie warundi na wanyarwanda kuwa washerehekee uhuru wa Tanganyika?
 
originally tanganyika ilijumuisha ruanda na burundi, ungependa tuwaambie warundi na wanyarwanda kuwa washerehekee uhuru wa tanganyika?
tanganyika iliyokuwa inajumuisha rwanda na burundi ni ya zamani kidogo,ambapo tanganyika ilikuwa under german rule,lakin baada ya ww1 tanganyika ikakbiziwa kwa british,na rwanda na burundi wakawa under belgium control,so just after ww1 tanganyika hii yetu ikawa tanganyika without rwanda&burundi-thus hakuna haja ya kuwahusisha warandwa au waburundi hapa
 
Back
Top Bottom