Kwa nini watu wanaogopa kuita tanganyika,wanaita tanzania bara?

Muungano umekaa kihuni sana, unawapendelea wazenji na bado wazenji ndio wanaongoza kwa kulalama.
Maoni yangu ni kuvunja nchi zote na kutengeneza mikoa na nchi kubaki na serikali moja. Serikali mbili au tatu naona ni uhuni tu!
 
tanganyika iliyokuwa inajumuisha rwanda na burundi ni ya zamani kidogo,ambapo tanganyika ilikuwa under german rule,lakin baada ya ww1 tanganyika ikakbiziwa kwa british,na rwanda na burundi wakawa under belgium control,so just after ww1 tanganyika hii yetu ikawa tanganyika without rwanda&burundi-thus hakuna haja ya kuwahusisha warandwa au waburundi hapa

Mmmmm, kwa hiyo Tanganyika "nzuri" kumbe ni ile ya Waingereza na sio nchi tuliyoitengeneza sisi yaani Tanzania? Tutaendelea kujidharau kwa mtindo huu hadi lini? Alright, suppose tukiita hiyo Tanzania Bara kwa jina la Tanganyika itatuondoleaje ufisadi na umaskini? Hiyo Tanganyika itatujengea barabara, kuwafukuza wezi wa madini yetu, kuwawezesha akina mama wajawazito kuepuka vifo wakati wa kujifungua, kuepusha vifo vya watoto chini ya miaka 5? Tuambieni "utamu" wa hilo neno Tanganyika badala ya Tanzania Bara unatokana na nini hasa?
 
Buchanan akili yako ni finyu au unajilazimisha kutoelewa. Uzalendo wa kweli unaanzia na kuitambua nchi yako kwanza na kuipenda mambo mengine yanafatia. Huwezi kuwa mfia nchi wakati identity yako umeipoteza, unajisikiaje waznz wakijitambulisha kwa uznzbr wewe ukijitambulisha kama mtanzania bara, iko wapi hiyo tanzania bara kikatiba
 
Buchanan akili yako ni finyu au unajilazimisha kutoelewa. Uzalendo wa kweli unaanzia na kuitambua nchi yako kwanza na kuipenda mambo mengine yanafatia. Huwezi kuwa mfia nchi wakati identity yako umeipoteza, unajisikiaje waznz wakijitambulisha kwa uznzbr wewe ukijitambulisha kama mtanzania bara, iko wapi hiyo tanzania bara kikatiba

Tuambie wewe mwenye akili "pana," Tanganyika ambayo ilikuwa "colonial creation" itatusaidiaje kupambana na ufisadi/umaskini, to say the least? Hiyo zawadi iitwayo Tanganyika ilikuwa ni "sacred" na wakoloni wetu hawakutaka tuibadilishe? Na hao Wazanzibari wameondokana na umaskini kwa kuacha kujiita Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na kujiita SMZ? Na huko kujitambua ni kulinda kila walichoacha Wakoloni bila kubadili hata jina? Haya tuwarudishe wakoloni wenyewe, akina Richard Turnbull, Horace Byatt, nk ili kendelea "kujitambua" zaidi!
 
Nina akili pana ndio si kama yako. Tutaanza kupambana na hayo yote kwa kujitambua sisi ni nani, tuko wapi na tunaelekea wapi kama waznz wanavyojitambua. Huwezi kufananisha uzalendo wa mzanzibari na so called mtanzania bara. Pima mwenyewe
 
Mmmmm, kwa hiyo Tanganyika "nzuri" kumbe ni ile ya Waingereza na sio nchi tuliyoitengeneza sisi yaani Tanzania? Tutaendelea kujidharau kwa mtindo huu hadi lini? Alright, suppose tukiita hiyo Tanzania Bara kwa jina la Tanganyika itatuondoleaje ufisadi na umaskini? Hiyo Tanganyika itatujengea barabara, kuwafukuza wezi wa madini yetu, kuwawezesha akina mama wajawazito kuepuka vifo wakati wa kujifungua, kuepusha vifo vya watoto chini ya miaka 5? Tuambieni "utamu" wa hilo neno Tanganyika badala ya Tanzania Bara unatokana na nini hasa?
Tuambie uhalali wa Zanziba kuwa na wimbo wa taifa,serikali,bunge,rais nk wakati sisi watanganyika hatuna, hakuna nchi ilipata uhuru inaitwa Tanzania bara labda Tanganyika ibatizwe
 
Tuambie uhalali wa Zanziba kuwa na wimbo wa taifa,serikali,bunge,rais nk wakati sisi watanganyika hatuna, hakuna nchi ilipata uhuru inaitwa Tanzania bara labda Tanganyika ibatizwe

Nani kakudanganya kuwa "sisi" hatuna Rais? Soma vizuri Katiba ndugu, usikurupuke! Kwani kubatiza nchi jina jingine ni dhambi au unasumbuliwa na kitu usichokijua?
 
Nina akili pana ndio si kama yako. Tutaanza kupambana na hayo yote kwa kujitambua sisi ni nani, tuko wapi na tunaelekea wapi kama waznz wanavyojitambua. Huwezi kufananisha uzalendo wa mzanzibari na so called mtanzania bara. Pima mwenyewe

Hiyo akili yako uitayo "pana" umeshindwa kuelewa kuhusu Tanganyika itasaidiaje kupambana na ufisadi/umaskini! Sasa huo "upana" wa akili yako unakusaidia nini? Na huo uzalendo wa kizanzibari umewasaidia nini kimaendeleo? Au tuseme uzalendo wa kitanganyika (ambayo ilitengenezwa na Wajerumani/Waingereza) ni bora zaidi ya uzalendo wa kitanzania (tuliotengeneza wenywe)? Uzalendo si uzalendo tu wandugu?
 
nani kakudanganya kuwa "sisi" hatuna rais? Soma vizuri katiba ndugu, usikurupuke! Kwani kubatiza nchi jina jingine ni dhambi au unasumbuliwa na kitu usichokijua?
hiyo katiba pia ina matatizo,ni ya kubadili,ndo uatelewa vizuri tunachosema
 
Nani kakudanganya kuwa "sisi" hatuna Rais? Soma vizuri Katiba ndugu, usikurupuke! Kwani kubatiza nchi jina jingine ni dhambi au unasumbuliwa na kitu usichokijua?
Mbona jaziba!?, sina uhakika kama nimekurupuka, nisaidie kunielewesha rais wa Tanganyika ni nani?
 
Mbona jaziba!?, sina uhakika kama nimekurupuka, nisaidie kunielewesha rais wa Tanganyika ni nani?

Hakuna jazba, Rais wa Tanzania Bara = Rais wa Tanzania = JK na ndivyo Katiba yetu inavyosema! Sidhani kama ulikuwa hujui!
 
Mmmmm, kwa hiyo Tanganyika "nzuri" kumbe ni ile ya Waingereza na sio nchi tuliyoitengeneza sisi yaani Tanzania? Tutaendelea kujidharau kwa mtindo huu hadi lini? Alright, suppose tukiita hiyo Tanzania Bara kwa jina la Tanganyika itatuondoleaje ufisadi na umaskini? Hiyo Tanganyika itatujengea barabara, kuwafukuza wezi wa madini yetu, kuwawezesha akina mama wajawazito kuepuka vifo wakati wa kujifungua, kuepusha vifo vya watoto chini ya miaka 5? Tuambieni "utamu" wa hilo neno Tanganyika badala ya Tanzania Bara unatokana na nini hasa?

Tatizo sio neno ila USANII uliotumika kuunganisha nchi hizi nakuuliza zenj imeungana na nchi/taifa gani hadi tukaita tanzania? zenj ipo na ina mihimili yote kama nchi/taifa bunge mahakama na serkali au unataka kusema zenj imeungana na tanzania?utajaza! nina uhakika baada ya kufutwa kwa utaifa wetu ndipo laana ikanza kwa kwenda mbele tukafuta azimio la ARUSHA na kuweka AZIMIO LA ZENJ hapo tena MAFISADI wakajipanga na kula bila kunawa tulio iona TANGANYIKA NA AZIMIO LA ARUSHA HILO HALIWEZEKANI PESA Zinazotumika kuidekeza zenj mf raisi wa zenj na makamu wake wawili baraza kubwa la mawaziri makatibu wakuu wabunge.........wakati wazenj idadi yao ni ndogo mno hapo jee mwanangu wanakushinda hata wazenj wanakataa katu kuufisha uzenj au wewe wa zanzibar! hiyo ndio habari.
 
Nani kakudanganya kuwa "sisi" hatuna Rais? Soma vizuri Katiba ndugu, usikurupuke! Kwani kubatiza nchi jina jingine ni dhambi au unasumbuliwa na kitu usichokijua?

Hiyo katiba inasemaje???

ila pamoja na kutokuijua katiba kila mmoja wetu anajuwa kuwa tuna marais wawili. Rais wa Tanzania na Rais wa ZNZ. Vilevile Tanganyika haikubatizwa kuwa Tanzania. Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Nchi zilizobatizwa ni kama DRC (Zaire), Nyasaland (Malawi).
 
Na huo uzalendo wa kizanzibari umewasaidia nini kimaendeleo?

Rejea kumbukumbu zako vizuri. Kuchafuka kwa hali ya kisisasa Zanzibar ilikuwaje? sababu zilikuwa zipi?. Abdu Jumbe aliandaa mpango wa kutengeneza bendera ya taifa la Zanzibar, wimbo wa taifa la zanzibar na sarafu/fedha ya zanzibar. Kwa ubabe wa Nyerere, akalazimishwa kujiuzuru.
Uzalendo wa wa Zanzibar umewasaidia kupata madai mengi kati ya hayo. Wimbo wa Taifa wamepata, bendera ya taifa wamepata; na baada ya kupata identity yao, wanaanza kudai fedha yao lakini wanajua fedha bila kuwa na nguvu ya uchumi itakuwa ni bure. Ndiyo maana sasa wanadai mafuta yao, bandari yao, bahari yao, vivutio vya utalii vyao nk wakishapata hivi wanakuwa na uchumi imara unaoweza kubeba fedha yao!
Buchanan, ebu tujulishe ni lini kule zanzibar ccm na cuf walitofautiana kwa suala lenye maslahi kwa zanzibar? Kwenye masuala ya maslahi kwa zanzibar, wazanzibar husimama pamoja na kutanguliza uzalendo wao.
Sasa wamrekebisha katiba yao na kujitwalia madaraka aliyokuwa nayo rais wa Tanzania kama kuunda mikoa na kuteua wakuu wa mikoa (zanzibar). Na kwa kuwa katiba ya sasa ya muungano inawapa kiburi cha 'kulalamika', wanatumia mwanya huo kudai mambo mengi na kupewa (Utakumbuka hata JK ameshasema hili la mafuta linazungumzika, litakuja la bandari nk) na ndiyo maana sasa CUF hawadai katiba mpya ya muungano!
TAFAKARI KWAKINA MATUKIO YOTE - UTAFAHAMU TU.
 
Back
Top Bottom