Kwa nini Watanzania wengi tuko hivi?

Kwa nini Watanzania wengi tuko hivi?

karibu mwanza karibu usukumani..!! mwanzo na kuwa mtu wa arusha niliteseka sana.. yaan naona kama watu hawapo real.. naona kama wanaishi maisha ya kike sana.. sahivi wamenizoea.. yaan upuuzi.. mtu husemi mambo yako unabaki kulalama kama mwanamke!! looh
 
Utamaduni mbaya sana wakufichana ujinga.....
 
Wabongo tuna tabia za kinafiki sana. Watu wanataka waonekane wema all the time
 
Back
Top Bottom