Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,111
Sisi culture yetu ukijumlisha na siasa yetu ya ujamaa ndio zinapelekea yote hayo.
Western culture inasisitiza sana kwenye ufanyaji kazi. Mtoto akifika umri flani tu anaondoka nyumbani anaenda kupambana.
Culture yetu ipo very accommodating kwenye hizo uvivu na kutowajibika.
Nakumbuka kuna mtu alikuwa analalamika kwamba kuna mwenzao kamripoti mfanyakazi mwingine kwa kuja kazini amelewa. Anaona jamaa ni mnoko. Na huyo jamaa ( mlevi) ndio ilikuwa mazoea yake kuja kazini kalewa.
Western culture inasisitiza sana kwenye ufanyaji kazi. Mtoto akifika umri flani tu anaondoka nyumbani anaenda kupambana.
Culture yetu ipo very accommodating kwenye hizo uvivu na kutowajibika.
Nakumbuka kuna mtu alikuwa analalamika kwamba kuna mwenzao kamripoti mfanyakazi mwingine kwa kuja kazini amelewa. Anaona jamaa ni mnoko. Na huyo jamaa ( mlevi) ndio ilikuwa mazoea yake kuja kazini kalewa.