Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
Wanachi wana machungu na serikali, hivyo wengi wanaojifanya kuwa ndio serikali wana nchi wanawachukia. Sio polisi tu hata mtendaji wa kijiji, kata nk.
Kwa polisi kuna kosa la ziada wanalofanya:
Mtuhumiwa akipelekwa kituoni wao wanamuona kama ana hatia tayari Mambo wanayomfanyia utadhani amekwisha patikana na hatia wakati sheria inasema mtuhumiwa hana hatia hadi mahakama ithibitishe hivyo.
Watampiga, watamlaza mahabusu (tena mahabusu zinaachwa kuwa chafu na kunuka ili ukiingia humo uombe kutoka haraka kwa gharama yoyote ile), na vimbwanga vingi tu.
Kwa polisi kuna kosa la ziada wanalofanya:
Mtuhumiwa akipelekwa kituoni wao wanamuona kama ana hatia tayari Mambo wanayomfanyia utadhani amekwisha patikana na hatia wakati sheria inasema mtuhumiwa hana hatia hadi mahakama ithibitishe hivyo.
Watampiga, watamlaza mahabusu (tena mahabusu zinaachwa kuwa chafu na kunuka ili ukiingia humo uombe kutoka haraka kwa gharama yoyote ile), na vimbwanga vingi tu.