Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Ndoa za siku ni mashindano, hakuna uvumilivu, kila mtu ana lake hakuna ushirikiano, jino kwa jino, adabu zimepungua kwa wote, mke na mume hawaheshimiani. Kwa upande mwingine nafikiri na ufinyu wa uelewa kiroho haupo.
Watu tunashindwa kuelewa kwamba kila mtu ana tabia zake, ni kiasi cha kukaa chini nakuongea huku mkiangalia wapi mrekebishe. siku hizi watu wanachoka mapema, akishauri mara moja mtu haelekei basi anaanza kufanya mambo tofauti, mwenzi wake akiona nae anajibu pigo mnabaki kuwa mashetani.
Watu tunashindwa kuelewa kwamba kila mtu ana tabia zake, ni kiasi cha kukaa chini nakuongea huku mkiangalia wapi mrekebishe. siku hizi watu wanachoka mapema, akishauri mara moja mtu haelekei basi anaanza kufanya mambo tofauti, mwenzi wake akiona nae anajibu pigo mnabaki kuwa mashetani.