Hawafikishwi.
Jamani ivi ilo tatizo linasababishwa na nini?
Nawasilisha.
<br />Ndoa za siku ni mashindano, hakuna uvumilivu, kila mtu ana lake hakuna ushirikiano, jino kwa jino, adabu zimepungua kwa wote, mke na mume hawaheshimiani. Kwa upande mwingine nafikiri na ufinyu wa uelewa kiroho haupo.<br />
<br />
Watu tunashindwa kuelewa kwamba kila mtu ana tabia zake, ni kiasi cha kukaa chini nakuongea huku mkiangalia wapi mrekebishe. siku hizi watu wanachoka mapema, akishauri mara moja mtu haelekei basi anaanza kufanya mambo tofauti, mwenzi wake akiona nae anajibu pigo mnabaki kuwa mashetani.
<br />Uwe mzuri au mbaya,uwe umesoma au hujasoma,ufikishwe kileleni au usifikishwe kama hamna upendo lazima huyo mwenza wako utamchoka tu na mwisho wake mahusiano/ndoa inavunjika mapema
:confused2::confused2::glasses-nerdy:Tena mi naona wanaume ndo chanzo kuvunjika kwa ndoa, kama unavyosema mwenyewe. Mwanamke anaachwa, sasa kwa nini ninyi mnaacha wake zenu?
Sababu nguvu zinawaisha mapema, wanakula sana chips mayaiKwanini wanaume wanaachwa mapema???:shut-mouth:
Hawafikishwi.
Kwanini wanaume wanaachwa mapema???:shut-mouth:
Simbamwene una akili, hongera kwa ufahamu ulio nao juu mwanamke na dunia tulio nayo sasa.
Wanawake wa karne hii sio wale wa zama za mama zetu ( Digital age Vs Analogue) ni wasomi, wana uelewa mkubwa ( Upeo wa kufikiri na kutafakari mambo mbali mbali) ni watafutaji wazuri wa maisha, wanajituma na mwishi wanajua mbinu nyingi kupambana na mfumo dume. Hivyo ni lazima Wanaume tuishi na kinamama kwa nidhamu na kuheshimiana na kushauriana, kutambua kama mke ni mwenzi wako katika maisha wala si mtumwa wako.
ukweli ni kwamba matatizo mengi ya wanawake tumeyatengeneza sisi wanaume, mwanamke ukitaka kumbadilisha atabadilika na kukuheshimu tu, tatizo letu tunataka kuujenga mji kwa siku moja, mwanamke ni kama karatasi nyeupe unachokiandika kitakaa mradi utumike upendo kueleweshana, tujaribu tu kuchukulia uzito wa mtu kuamua kuachana na familia yake anaamua kujakuishi kwako na hajui kama una matatizo gani ya kurithi! Hii pekee ni hatua kubwa sana inayotupelekea kuwahurumia na kuwaheshimu wanawake. Naamini siku ya mwisho hilo pekee litatufanya wanaume wengi sana kwenda jehanam. Tufikiri kwa kina kuhusu hili, mimi nikikumbuka hata kama mke wangu kanikosea kiasi gani huwa narudi chini na kumwomba msamaha. Pia ujue mimi siyo wa zamani kivile 32yrs
Mmonyoko wa maadili, kutomjua mwenyezi Mungu, ujidai kuwa yote yanawezekana bila mwanaume/mwanamke, uvumilivu finyu. Ki ukweli unaweza kuwa na hela, nyumba, magari ukamiliki biashara zote nchi hii, lakini haki ya mke/mme huipati popote, utawazunguka wanaume/wanawake bado utakuwa na uhitaji wa mtu wa kukaa nae.
Mimi zamani nilijiuliza kwa nini wanaume/wanawake wanapenda nyumba ndogo vs vidumu? Ni kwa sababu tu ya tamaa zao si kwamba hawa watu waliozungukana hawapendani? Shetani ana mbinu nyingi sana za kuharibu maisha ya watu, hasa akikuta roho mtatakatifu ameshuka. Wazazi wetu siyo kwamba waliishi mbinguni nao walipitia mambo mengi sana mabaya lakini walibarikiwa kuwa na UVUMILIVU wakijua kwamba hata wakizunguka huku na huko ni yale yale.
Nyie wapenzi wa VIDUMU/NYUMBA NDOGO, nawapa pole sana kwa sababu zaidi ya kudhalilika na kuokota magonjwa, hakuna furaha huko. jenga nyumba, badilishaneni vile mnavyotaka ili kujenga familia bora.
Mungu atutie nguvu. AMEN
<br /><br />Haya jamani zungukeniiii zungumzeniii jadiliniiiii mwisho wa siku mtapata jibu langu nililoleta kwenye post yangu mkanipinga!
<br /><br />
<br /><br />
Katika ndoa nani anayeachika?fikiria dadaa wacha LIGI